Sikuwahi kujua kama Msemaji wa Azam ni mtu wa hovyo

Sikuwahi kujua kama Msemaji wa Azam ni mtu wa hovyo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ninaangalia wasemaji wa Simba Sc na Azam wakizungumzia mechi ya kesho kombe la mapinduzi.

Huyu Msemaji wa Azam nadhani anaitwa somebody Zacharia anazungumza kama mvuta bangi. Anampangia Ahmed Ally cha kuzungumza. Anamkatiza Ahmed kuzungumza. Anajitahidi kuweka utani wa jadi lakini utani wake ni wa hovyo. Ahmed anazungumzia teams huku anasifia club yake. Huyu Azam anazungumzia mambo binafsi ya Ahmed na club yake.

Kiufupi Zacharia hafuatiliwi tu,lakini nimeona ni mtu wa hovyo kama Haji Manara.
Hawa wasemaji sijui kama wanapewa job description. Sijui vigezo gani wanatumia kuwapata watu hawa.
 
Huyo kiazi namfahamu siku nyingi sana, nahisi atakuwa kandambili. Kuna siku Simba ilikuwa inacheza na Azam Manara akiwa msemaji wa Simba, wakati Manara anaizungumzia mechi kwa kuwaheshimu wapinzani Azam, huyo mjinga akasema Simba hakuna kitu ni timu ya kawaida tu, matokeo yake Simba akashinda ile mechi.

Kutokea hapo nilimdharau sana huyo jamaa sijui Azam walimuokota wapi, ana ushabiki maandazi wa vijiweni kabisa hana professionalism yoyote.
 
Ninaangalia wasemaji wa Simba Sc na Azam wakizungumzia mechi ya kesho kombe la mapinduzi.

Huyu Msemaji wa Azam nadhani anaitwa somebody Zacharia anazungumza kama mvuta bangi. Anampangia Ahmed Ally cha kuzungumza. Anamkatiza Ahmed kuzungumza. Anajitahidi kuweka utani wa jadi lakini utani wake ni wa hovyo. Ahmed anazungumzia teams huku anasifia club yake. Huyu Azam anazungumzia mambo binafsi ya Ahmed na club yake.

Kiufupi Zacharia hafuatiliwi tu,lakini nimeona ni mtu wa hovyo kama Haji Manara.
Hawa wasemaji sijui kama wanapewa job description. Sijui vigezo gani wanatumia kuwapata watu hawa.
Ni boss wake wa zamani au mmesahau Ahmed Ally mmemtoa wapi?
 
Wasemaji wa timu wengi ni waropokaji tu...
 
Kwahivyo Ahmed Ally ametoka kwa Zakaria? Na hajatoka Azam TV

Na hata tukienda na uelewa wako hivi unadhani anayefanya kazi Azam FC ndiye huyohuyo anafanya kazi Azam TV?
Zaka za kazi au Zakaria kabla ya kuajiriwa hapo Azam fc alikuwa Azam tv idara ya michezo pamoja na Ahmed Ally
 
Kuna siku ile Azam walicheza na Yanga.. Azam wakapata goli kupitia kwa Dube ilikua baada ya mpira kumgonga mgongoni Ninja, jamaa akafunguka mashine iliyomshinda Farouk Shikalo.

Baada ya mechi sasa badala ya Zaka kufurahia ushindi alikasirika kweli na kuwakoromea waandishi utadhani wao ndio wamefungwa. Ila ndio hivyo ilikua moja ya mechi Yanga ilikua inatoa goodbye kwa Ubingwa last season.
 
Msemaji ana kazi gani, ikiwa club ina website, apps au digital platform za kufikisha taarifa kwa mashabiki. Timu pia ina kitengo cha habari ukute yupo afisa, kurugenzi ya mawasiliano.
 
Zaka za kazi shida yake ni ujuaji, mengine yuko fresh, kuna vitu anajaribu kuforce vinagoma.
 
Ninaangalia wasemaji wa Simba Sc na Azam wakizungumzia mechi ya kesho kombe la mapinduzi.

Huyu Msemaji wa Azam nadhani anaitwa somebody Zacharia anazungumza kama mvuta bangi. Anampangia Ahmed Ally cha kuzungumza. Anamkatiza Ahmed kuzungumza. Anajitahidi kuweka utani wa jadi lakini utani wake ni wa hovyo. Ahmed anazungumzia teams huku anasifia club yake. Huyu Azam anazungumzia mambo binafsi ya Ahmed na club yake.

Kiufupi Zacharia hafuatiliwi tu,lakini nimeona ni mtu wa hovyo kama Haji Manara.
Hawa wasemaji sijui kama wanapewa job description. Sijui vigezo gani wanatumia kuwapata watu hawa.
Ni mtu wa ovyo Kama ulivyo wewe, unamlalamikia kwamba anampangia Ahmed Ali cha kuzungumza wakati huo huo wewe unampangia cha kuzungumza?? Maneno yake yamekugusa ndo unakuja kulia kulia apa!
 
Kwahivyo Ahmed Ally ametoka kwa Zakaria? Na hajatoka Azam TV

Na hata tukienda na uelewa wako hivi unadhani anayefanya kazi Azam FC ndiye huyohuyo anafanya kazi Azam TV?
iko hivi, thabit zakaria kabla hajahamia azam fc, alikuwa producer azam tv, wakati huo ahmed ally alikuwa ni mtangazaji azamtv.

kimajukumu, katika tv broadcast, producer ni mkubwa kuliko mtangazaji.

producer ndiye anayekusanya, kuandaa na kusimamia content zote za kipindi cha tv.

mtangazaji atapewa script na kwenda kuisoma, ila kazi kubwa inakuwa imefanywa na producer.

NB: nipo kwenye hii career na nimewahi kufanya kazi na hao jamaa wote wawili (zaka na ahmed ally).
 
Yule kikazi yupo Azam, lakini moyo wake upo Yanga msikilize kwa makini sana anapozungumza wakati timu yake ikicheza na watoto wa Jangwani. Anashindwa sana kuficha hisia zake kwa Yanga, ukimsikiliza kwa makini utajua tu jamaa ana mapenzi makubwa na Yanga...
 
Back
Top Bottom