😛 😛 😛CCM kuna watu wenye maarifa sana msiichukulie poa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😛 😛 😛CCM kuna watu wenye maarifa sana msiichukulie poa!
kwa mwendo huu.CCM siyo kama CHADEMA inayomiliki chuo cha matusi na uzushi
ccm wanamiliki serikali utakuwa huo mgodi tena kipande tuKama kichwa cha uzi kinavyojieleza.
Sikuwahi kujua kuwa sisiemu inamiliki na Migodi.. Je kuna Migodi mingine ambayo Chama tawala kinamiliki?
Na huu Mgodi jina lake unaitwaje?
Angalia video hii inayomuonesha waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa akitembelea mgodi wa makaa ya mawe uliopo Mdunduwalo, Wilaya ya Mbinga, Mkoani Ruvuma.
View attachment 2479419
Mda ni mali kwa mda ambao CHADEMA mmeupoteza kwenye maandamano, makongamano, kususa na kuzira mngesha jenga makao makuuhizo V8 zote kwenye msafara bila shaka gharama ya mafuta tu hizo km za barabara zingekuwa tayari zimejengwa.
Kaajiriwa kama mshauriMzungu kafuata nini hapo?
Mkuu usiwe na hofu na nikutoe shaka CCM tunalipa kodi , tozo ,mrahaba, na leseni kwa kumiliki huo mgodi na malipo yote yanaenda hazina na CHADEMA mnapata ruzuku kutoka hapoChama kinaweza kuwa na vitega uchumi kama majumba, nk.
Ila kwa ccm kumiliki mgodi!! hapa tumepigwa kabisa, maana mapato ya mgodi yanaenda kwenye chama sio kwenye mfuko wa hazina.
Hivi Kuna waziri anaweza aka muhoji mkurugenzi wa hiyo kampuni ya mgodi ya CCM?
Waliamua sehemu ya ruzuku na mapato mengine Kama ya viwanja na kuuza KADI,wawekeze..walifanya hili siku nyingi kipindi kile jakaya analalama wenye hela wanaowafadhili wanawasimangaHiki ni chama cha siasa ama Kampuni??? aiseee !!
CCM is a legal person with all the right including the right to own property , sue and get sued. etc. ACHA CHUKI, ROHO MBAYA , NA AKILI MBOVUThis is by all means not right?
Nchi haiendelei kumbe the ruling party owns everything... .. how are you going to compete kwenye market kama hii...
Na wafaidika wa gawio la miradi hii ni nani?
Kumbuka CCM ni Chama cha siasa kinachofaidika na kodi zetu kupitia ruzuku ikiwemo Michango ya wanachama bado wanazunguka kuomba michango kwa wafanyabiashara.
Country robbery... na hapo namuona wazir mkuu wanakwepa kabisa kuongea kwamba mgodi huu unamilikiwa na Chama Chake..
That's Bad, very bad
Hawezi kukumbuka walikuwa wanaandamana na kwenda kuomba hela ubalozi wa UjerumaniWaliamua sehemu ya ruzuku na mapato mengine Kama ya viwanja na kuuza KADI,wawekeze..walifanya hili siku nyingi kipindi kile jakaya analalama wenye hela wanaowafadhili wanawasimanga
Ndiyo maana tunaulizwa kwanini umeme ni wa mgao- hayo ni maswali wanayoulizwa wamiliki siyo wapangaji kama KUPE WA CHADEMACcm ni chama dola, haimiliki migodi tu, hata Tanzania ni mali ya Ccm.
CCM ilipata hat trick- ikapewa mpira iende nao kwa hiyo wachezaji wengine tulieni jaribuni mechi ijayoNapata ukakasi inaweza kuwa hata hii nchi ni mali ya ccm