Sikuwahi kujua kuwa CCM inamiliki na Migodi

hizo V8 zote kwenye msafara bila shaka gharama ya mafuta tu hizo km za barabara zingekuwa tayari zimejengwa.
 
ccm wanamiliki serikali utakuwa huo mgodi tena kipande tu
 
hizo V8 zote kwenye msafara bila shaka gharama ya mafuta tu hizo km za barabara zingekuwa tayari zimejengwa.
Mda ni mali kwa mda ambao CHADEMA mmeupoteza kwenye maandamano, makongamano, kususa na kuzira mngesha jenga makao makuu
 
Mkuu usiwe na hofu na nikutoe shaka CCM tunalipa kodi , tozo ,mrahaba, na leseni kwa kumiliki huo mgodi na malipo yote yanaenda hazina na CHADEMA mnapata ruzuku kutoka hapo
 
Huo mgodi watu wanejipigia mpaka wamevimbiwa na kutapika kabisa.. Mwaka jana walitaka kumuuzia tycoon mmoja ambaye alishawahi kushika wadhifa mkubwa kichama kwa BILLION 4 jamaa akawadengulia.. Sasa sijui wamepata wapi mtaji/mfadhili?
 
CCM is a legal person with all the right including the right to own property , sue and get sued. etc. ACHA CHUKI, ROHO MBAYA , NA AKILI MBOVU
 
Waliamua sehemu ya ruzuku na mapato mengine Kama ya viwanja na kuuza KADI,wawekeze..walifanya hili siku nyingi kipindi kile jakaya analalama wenye hela wanaowafadhili wanawasimanga
Hawezi kukumbuka walikuwa wanaandamana na kwenda kuomba hela ubalozi wa Ujerumani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…