miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
...lakini itakuwaje nikirudi chuo?...na unaweza nisaidia labda ilikuwaje mpaka nkawekea pesa bla ya mm kusain?...samahan lakn
ile kusign haina maana ndo wanapitia jina hadi jina ni kupoteza jina tu na incase any thing happen... ukija kurudi chuo kuna mawili kukosa mkopo kabisa..... alafu ukisema utoe taarifa bodi wakutoe kwenye huo mchakato kuja kurudishwa tena ni issue afu suala la ada nalo ni issue pia jaribu kuona utawala wa chuoni kwako hasa kitengo cha mikopo uone wanakushauri nini?