Silaha za Masafa Marefu Zinazomilikiwa na JWTZ

Silaha za Masafa Marefu Zinazomilikiwa na JWTZ

kuna kipindi hapa juzi Kikwete yuko ukingoni tulipokea onyo kutoka marekani baada ya kununua mfumo wa makombora kutoka Korea kaskazini
Kwann sasa watupangie..kulikua na athar gan kwao sisi kununua hizo vitu?naomba nisaidie mkuu
 
Kuna vitu unachanganya na vingine unapatia.
Kuna vingine hujui vimeundwaje na vinafanyaje kazi.
Kwanza si kweli kwamba huwezi rusha kombora la hypersonic speed kutoka ktk kifaa kilichopo ardhini.
kwa taarifa yako silaha nyingi tu zinafikia hiyo speed maana hypersonic speed ni speed yoyote inayoanzia mara 5 ya speed ya sound na ndiyo kitu wanaita mach 5.
Ni kweli aliyorusha russia ukraine siyo true cruise hypersonic missile. Yaani siyo hypersonic glide vehicle (HGV). Lakini anayo hiyo ya ukweli hajatumia inaitwa AVANGAD siyo ile KINZHAL aliyotumia ukraine ambayo ni variant ya ISKANDER.

soma hapa What to know about Russia's hypersonic missiles
Ninavyoelewa Mimi ni sawa na kichuguu alivyoandika hapo, lakini hata refference uliyoweka hapo inasupport statement ya kichuguu, huwezi kutuma Hyper Missile kutoka chini, lazima ipigwe juu kwa juu.
 
Akili matope,badala ya kulipa hamasa wizara ya kilimo ipeleke nje vijana wakajifunze kilimo cha hitech halafu inunue vifaa vyake kwa wingi na iwatawanye mikoani wakafundishe wengine jinsi ya kuvitumia,wewe unawaza vifaru na mizinga,Tanzania ilipo ipo katika level ya kupigana na masuala ya kujikomboa kiuchumi,hao wanapigana hizo vita za hayo mahowitzer walishapiga hatua za kiuchumi miaka lukuki iliyopita,by the way vijana wa sasa mkae mkijua Tanzania haina potential enemy wa kuwaza kuivamia kijeshi,kwa hiyo kufanya big spending kwenye sana za vita,ni ukichaa unaoashiria madhara ya uvutaji wa bangi.


Wewe unawaza kitu kimoja tu? Dunia hii ni multidimensional; jifunze kuwaza mambo mengi kwa pamoja. Thread hii ni ya kuhusu silaha za masafa marefu za kutoka Urusi zinazoweza kuwa ziko Tanzania (hatujui kama jeshi letu linazo kweli). Ukitaka mambo ya Kilimo, tukutane kwenye thread nyingine.

Ukraine wanalima sana, in fact ni kati ya nchi zinazozalisha ngano kwa wingi sana duniani lakini leo wamevamiwa. Unadhani wasingekuwa na silaha za kujihami wangekuwa wapi sasa.

Kama hutaki silaha basi futa jeshi.
 
kwa levo za nch zetu nahic tuko vzur kuna sku zlkua znapta zana za kijesh mepgwa chata za UN kuelekea lugalo na kule ununio asee watakao omba batle na sie wajpange na izo n kwa darslam bado iyo mikoa ya mipakan ambayo ndio ua na silaha nzto zaid kimsng hakuna taifa ambalo halijajiwekeza ki usalama hata kama hakuna machafuko

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hakuna taifa linaloweka silaha nzito mpakani

Kigoma hakuna mfumo wa kutungua ndege (kumbuka tunategemea buk-system kwa ulinzi wa anga ) so kigoma hakuna Buk hata moja

Silaha nzito angalau zipo tabora tena ni chache mno
 
Hakuna taifa linaloweka silaha nzito mpakani

Kigoma hakuna mfumo wa kutungua ndege (kumbuka tunategemea buk-system kwa ulinzi wa anga ) so kigoma hakuna Buk hata moja

Silaha nzito angalau zipo tabora tena ni chache mno
Bro issue ya silaha huwa ni classified unless umejaribu ku reveal kwamba kigoma hatuna buk system. Pale mbili nne buk system zipo japo siwezi kumwaga tactical specification zake hapa. I want to assure you hii mifumo ipo
 
Logic nikwamba kuna mambo nivigumu kuyatoleao maoni kama huna uelewa nayo. Kuna watu humu wanalazimisha kutolea maoni vitu ambavyo hawana taaluma navyo. Kwenye issue ya silaha hapa mzee baba elimu nilazima tu hapa layman atachangia nini, Tanzania tuna bodi ya silaha ambayo iko chini ya wizara ya ulinzi, hapa wanakutana wataalamu sio wanasiasa. Haya ni maoni yangu tu
Tuna bodi ya bandari pia ambayo hamna wanachofanya zaidi ya kula posho tu

Tuna bodi lukuki lkn hazina umuhimu wowote in short Tz hatuna ulinzi huo tunaodhani Upo
 
Wewe unawaza kitu kimoja tu? Dunia hii ni multidimensional; jifunze kuwaza mambo mengi kwa pamoja. Thread hii ni ya kuhusu silaha za masafa marefu za kutoka Urusi zinazoweza kuwa ziko Tanzania (hatujui kama jeshi letu linazo kweli). Ukitaka mambo ya Kilimo, tukutane kwenye thread nyingine.

Ukraine wanalima sana, in fact ni kati ya nchi zinazozalisha ngano kwa wingi sana duniani lakini leo wamevamiwa. Unadhani wasingekuwa na silaha za kujihami wangekuwa wapi sasa.

Kama hutaki silaha basi futa jeshi.
Point yake bado imesimama palepale, hatuna potential enemy, Ukraine yeye na Russia ni maadui wa miongo na miongo..

Sisi unayedhani atakuwa adui wa kutishia mpaka kuvamia nchi yetu kwa sasa na angalau miaka kumi ijayo ni nchi gani? Kama haipo tuweke tu mkazo kwenye mambo yanayotuumiza Watanzania..
 
Tule tusilaha ni moto wa kuotea mbali kiasi tunachoma vifaru nibalaa. Kuna mdau mmoja alileta hoja kuwa zama za vifaru zinakaribia kufika mwisho. Bro juvelin anashika mtu mmoja au wawili ila kakipiga kifaru kinaungua chote na waliomo ndani
Kuna baadhi ya vifaru ili viteketee inatakiwa vipigwe na makombora ya juvelin zaidi ya matatu
 
Tuna bodi ya bandari pia ambayo hamna wanachofanya zaidi ya kula posho tu

Tuna bodi lukuki lkn hazina umuhimu wowote in short Tz hatuna ulinzi huo tunaodhani Upo
Tumevamiwa? Unadhani tutavamiwa na nchi gai hivi karibuni? Diplomasia yetu na majirani ikoje??
 
Tuna bodi ya bandari pia ambayo hamna wanachofanya zaidi ya kula posho tu

Tuna bodi lukuki lkn hazina umuhimu wowote in short Tz hatuna ulinzi huo tunaodhani Upo
Personally sipendi kubeza vitu mpaka nifanye research, probably unachosema nikweli bodi nyingi za kiraia zimeperform kwa kiwango kidogo ukilinganisha na matarajio yetu. Ila wenzetu wa ulinzi wamejitahidi sana kufanya modification za mifumo ya ulinzi sio hapa but changamoto kubwa ni bajeti
 
Bro issue ya silaha huwa ni classified unless umejaribu ku reveal kwamba kigoma hatuna buk system. Pale mbili nne buk system zipo japo siwezi kumwaga tactical specification zake hapa. I want to assure you hii mifumo ipo
Hapo unapopataja(VAMIA) hakuna silaha yoyote nzito hawa hakuna Buk wala mfumo wowote wa Ulinzi wa Anga kwanza kikosi chenyewe now kipo chini ya kanal na kanal wa pale huwa haelewani na msaidizi wake mara zote akitaka kuondoka huwa anamuachia majukumu meja KS na kama hujui pale now kuna askari chini ya 500 tena waliobaki pale ni watovu wa nidhamu askari wote wenye nidhamu walimishiwa maeneo mengine hasa buronge napajua pale in and out
 
Wamagharibi wenyewe wanasema Urusi anatumia silaha za zamani tu mpya hajatoa hata kidogo zaidi ya yale makombora yasiyozuilika.

Hata US/NATO hakuna anaempa Ukraine silaha mpya zote ni za zamani tu.

Yaani kwa operation ya Ukraine Urusi ni kama anasafisha stoo tu..

Na huo ndiyo ukweli mchungu.
 
Personally sipendi kubeza vitu mpaka nifanye research, probably unachosema nikweli bodi nyingi za kiraia zimeperform kwa kiwango kidogo ukilinganisha na matarajio yetu. Ila wenzetu wa ulinzi wamejitahidi sana kufanya modification za mifumo ya ulinzi sio hapa but changamoto kubwa ni bajeti
Ukitaka kujua kuwa hizo bodi ni nothing angalia maisha ya askari angalia kota zao pale nyamanoro angalia kota zao za kitangiri

Angalia shirika la mzinga plus Nyumbu hakuna wanachofanya Nyumbu now ni gereji aliyakuwa zamani palikuwa panaudwa mpaka milipuko

Angalia kikosi cha anga kina nini cha kujivunia
 
Hapo unapopataja(VAMIA) hakuna silaha yoyote nzito hawa hakuna Buk wala mfumo wowote wa Ulinzi wa Anga kwanza kikosi chenyewe now kipo chini ya kanal na kanal wa pale huwa haelewani na msaidizi wake mara zote akitaka kuondoka huwa anamuachia majukumu meja KS na kama hujui pale now kuna askari chini ya 500 tena waliobaki pale ni watovu wa nidhamu askari wote wenye nidhamu walimishiwa maeneo mengine hasa buronge napajua pale in and out

Hapo unapopataja(VAMIA) hakuna silaha yoyote nzito hawa hakuna Buk wala mfumo wowote wa Ulinzi wa Anga kwanza kikosi chenyewe now kipo chini ya kanal na kanal wa pale huwa haelewani na msaidizi wake mara zote akitaka kuondoka huwa anamuachia majukumu meja KS na kama hujui pale now kuna askari chini ya 500 tena waliobaki pale ni watovu wa nidhamu askari wote wenye nidhamu walimishiwa maeneo mengine hasa buronge napajua pale in and out
Huyo jamaa anaeachiwaga ofisi na ceo namjua anatabia ya kichawa sana
 
Usisumbuliwe na bias ya mtu kuwa graduate au la, wewe amini facts bila kujali kama facts hizo zinatoka kwa layman au zinatokwa kwa intellectual. Kuna watu wengine ukiwaambia elimu ya juu ni kama unawaambia kabila lao, na kuna wengine (kama wewe) wanadhani elimu ya juu ni muujiza!
Asante Mkuu Kichuguu,tunaokufahamu kitambo hapa Jamvini imebidi tusmile baada ya kuona mtu anahoji kama wewe ni graduate.
 
Back
Top Bottom