Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!

Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!

"kwasababu ni wakweli kupitiliza, Mwalimu Nyerere was one of them, JPM was another, hata TAL akipunguza u ropo ropo!. Thanks"


Kuna mtu alikuwa mropokaji kama JPM??

Siku anamuapisha DGIS -Diwani Athumani kulikuwa na sababu gani ya yeye JPM ku blow cover yake kwamba jamaa alikuwa nyoka naye? wakati jamii inafahamu tu kwamba ni Polisi???
 
Kusema hakuna majawabu kwenye changamoto zetu sio sahihi. Kusema hakuna watu wenye uwezo wa kuleta mapinduzi chanya nayo sio sahihi.
Kitu ambacho nakishangaa ni kuzungusha wale wale kila siku halafu kutegemea matokeo tofauti. Na ni wajanja sana. Wanajua kupigiana debe na kutuaminisha huyu mtu anafaa maana tunamjua. 😂 😂
Ndio hao ss wanajiita sijui Saigon, Wana watiashia wenzao kuwa wao ni ma soldiers watawapiga mitama, hili kundi Lina hujumi uchumi wa tz lazima lizibitiwe kikamilifu, hao unaosema wanapeana kijiti wao kwa wao, ndio wanao litumikia hili kundi la kihalifu
 
No, huyu ni mtu wa intelligence ambaye pia ni intelligent,wengi wa huko siku hizi ni majinga tuu, ndio maana yalishindwa kumprotect yule mtu wetu。

Kuna namna ambayo hawa jamaa huwa wanafanya to do away na watu wao ambao they are done with,the ejecting mechanism differ,hivyo alipotonywa he is about to be ejected,akaamua kuwawahi kwa ku deffect kabla! 。Jamaa ukiwawahi, wanakasirika sana,angekuwa within their reach,wange mu imrankombe!。
P
Kwa kweli kutom protect walionyesha uzembe wa hali ya juu sana yule jamaa ni kama alitakiwa amalizie awamu zake zote.
 
"kwasababu ni wakweli kupitiliza, Mwalimu Nyerere was one of them, JPM was another, hata TAL akipunguza u ropo ropo!. Thanks"
Kuna mtu alikuwa mropokaji kama JPM??

Siku anamuapisha DGIS -Diwani Athumani kulikuwa na sababu gani ya yeye JPM ku blow cover yake kwamba jamaa alikuwa nyoka naye? wakati jamii inafahamu tu kwamba ni Polisi???
Its true Blaza alikuwa ropo ropo,ila kiheshima huwezi sema ila sisi jf,tulijitahidi kumsaidia saidia
P
 
Mkuu Megalo, Megalodon , kwanza nimefarijika sana kwa kauli yako hii, you are a genuine person, watu genuine ni wachache na most times ni wanachukiwa na society, wanachukiwa na wengi kwasababu ni wakweli kupitiliza, Mwalimu Nyerere was one of them, JPM was another, hata TAL akipunguza u ropo ropo!. Thanks for genuity!.
Samia alipoingia, she was very genuine, ni mkweli, mpenda haki na mtenda haki, she was very genuine kutaka kuwatendea haki Watanzania, tatizo lake ni moja tuu, naomba kwa heshima ya kiongozi wetu mkuu, nisilitaje. Kutokana na tatizo hilo, wahafidhina wa CCM, reached her, wamefanikiwa kim brain wash, sasa anawasikiliza, na kiukweli wanamdanganya sana!. Mtandao huu tumeendelea kumsaidia kwa kumweleza ukweli kama huu

True

True

This is very true, na hili la kizazi kife kiibuke kingine, hata mimi nimelisema Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Nakubaliana na wewe, my initial calculatins was 2030, but kumetokea fursa 2025 kupitia TAL!. Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
P
Kwamba TAL anachukua 2025?!!! Ndugu yangu weeeeh 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu Mayalla vipi nikimwangalia maza ni kama anajiandalia mazungira mazuri kwa kampeni zake
Mkuu Mnangu,@mnanguliti,ni kweli,ila kuna vitu ni yeye anataka na anapanga,na kuna vitu sii yeye anataka ama anapanga,bali anapangiwa na ma strategist wake,

Kitu ambacho yeye amekitaka ni kwa vile ameingia kwa kudra tuu,angependa 2025 Watanzania tuchague mwanamke,kitu ambacho hata mimi nimeunga mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! kwa vile baadae nilikuja kuambiwa HII kitu, mastrategists wake hawaijui,wao wamemuhakikishia Mama 2025 ni wewe tuu, na yeye akaanza kujitangaza Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli! hivyo tumesaidia
hasa kwa hizi tetesi za kumdhamini Mbowe nadhani lengo lake akipita Mbowe kwenye uenyekiti na kwa kuwa atakuwa amewezeshwa na mama atamuwekea mgombea ambaye atakuwa soft
Hili la Mbowe kuna sehemu ni la Rais Samia na kuna sehemu ni la ma strategist wake。 La Rais Samia ni mtu mwenye upendo wa dhati na huruma ya kweli,ni mpenda haki na mtenda haki,kama nilivyo mwelezea hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na hapa Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... hivyo Rais Samia ni mtu rahimu sana, mwenye upendo wa dhati na huruma, hapendi mtu ateseke, au atendewe kinyume cha haki,hivyo kwenye ile kesi ya Mbowe,watu wake wakamweleza ukweli, ukijumlisha na kelele zetu tukiwemo sisi jf https://www.jamiiforums.com/threads...bila-kuombwa-msamaha-au-akomae-naye.1941083/,Rais Samia akaingia huruma,akamsamehe Mbowe na kuifuta ile kesi,purerly on humanitarian grounds,na pia ikatokea Rais Samia she is a human being,anampenda Mbowe hata Lissu,baada ya kumuachia,akanuita Ikulu, kule Mbowe akamshukuru mama na mama kumuahidi Mbowe kila aina ya msaada,na shida kubwa ya Chadema ni pesa, mama aliwapa,hivyo Chadema mambo yakaanza kwenda, wakarudishiwa ruzuku na kukubaliana kugawana nusu mkate na CCM!。Lissu alipotua,akahudhuria kikao kimoja tuu cha maridhiano,akashtukia dili!,ndipo akaanza kuropoka na kupayuka huku akiwatukana wenzake kwa mlango wa nyuma kwa kuuliza kama wanaakili,Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability? 。Makombora ya Lissu yalipozidi,ikambidi Mbowe naye ajikoshe,Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!
au atakayepangiwa yapi ayaseme kwenye kampeni.
hili la mgombea wa Chadema 2025 sio la Rais Samia,hili ni la strategists,kwa vile mgombea urais wa CCM,kwa 2025 ni Rais Samia,kupitia mserereko wa CCM,ili ashinde kwa kishindo,ni lazima mgombea wa upinzani awe mtu soft soft,Mbowe anafiti sana!hata mimi hili niliwashauri Kuelekea 2025 - Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila...
Unadhani kwa mazingira hayo anaweza akamwachia mwanaume agombee kama sauti yako ya ndani inavyokutuma, huoni kama mazingira ya fomu moja yanamtengenezea njia ya kupeperusha bendera ya wanakijani bila kikwazo. Unadhani nini kitatokea ili mgombea awe mwanaume maana ni kweli mara nyingi unayoyaandika yamekuwa yakitokea. Na mimi pamoja na kujikataa kuwa wewe ni kipepeo ila kuongea kwako kutembea kwako na mwonekano wako unaonyesha kabisa wewe ni kipepeo ambaye hutaki watu wajue hilo japo si lazima kila mtu ataamini maana hamjitangazi hadharani.
 
Mkuu Mnangu,@mnanguliti,ni kweli,ila kuna vitu ni yeye anataka na anapanga,na kuna vitu sii yeye anataka ama anapanga,bali anapangiwa na ma strategist wake,

Kitu ambacho yeye amekitaka ni kwa vile ameingia kwa kudra tuu,angependa 2025 Watanzania tuchague mwanamke,kitu ambacho hata mimi nimeunga mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! kwa vile baadae nilikuja kuambiwa HII kitu, mastrategists wake hawaijui,wao wamemuhakikishia Mama 2025 ni wewe tuu, na yeye akaanza kujitangaza Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli! hivyo tumesaidia

Hili la Mbowe kuna sehemu ni la Rais Samia na kuna sehemu ni la ma strategist wake。 La Rais Samia ni mtu mwenye upendo wa dhati na huruma ya kweli,ni mpenda haki na mtenda haki,kama nilivyo mwelezea hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na hapa Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... hivyo Rais Samia ni mtu rahimu sana, mwenye upendo wa dhati na huruma, hapendi mtu ateseke, au atendewe kinyume cha haki,hivyo kwenye ile kesi ya Mbowe,watu wake wakamweleza ukweli, ukijumlisha na kelele zetu tukiwemo sisi jf https://www.jamiiforums.com/threads...bila-kuombwa-msamaha-au-akomae-naye.1941083/,Rais Samia akaingia huruma,akamsamehe Mbowe na kuifuta ile kesi,purerly on humanitarian grounds,na pia ikatokea Rais Samia she is a human being,anampenda Mbowe hata Lissu,baada ya kumuachia,akanuita Ikulu, kule Mbowe akamshukuru mama na mama kumuahidi Mbowe kila aina ya msaada,na shida kubwa ya Chadema ni pesa, mama aliwapa,hivyo Chadema mambo yakaanza kwenda, wakarudishiwa ruzuku na kukubaliana kugawana nusu mkate na CCM!。Lissu alipotua,akahudhuria kikao kimoja tuu cha maridhiano,akashtukia dili!,ndipo akaanza kuropoka na kupayuka huku akiwatukana wenzake kwa mlango wa nyuma kwa kuuliza kama wanaakili,Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability? 。Makombora ya Lissu yalipozidi,ikambidi Mbowe naye ajikoshe,Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

hili la mgombea wa Chadema 2025 sio la Rais Samia,hili ni la strategists,kwa vile mgombea urais wa CCM,kwa 2025 ni Rais Samia,kupitia mserereko wa CCM,ili ashinde kwa kishindo,ni lazima mgombea wa upinzani awe mtu soft soft,Mbowe anafiti sana!hata mimi hili niliwashauri Kuelekea 2025 - Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila...
Ahsante sana mkuu Mayalla nimekusoma na kukuelewa na ninaamini itafanyika kama ulivyoshauri!!
 
Back
Top Bottom