Silly question...

hapo kwenye blue pana ukweli TF ................au sio wakwumwambia will u ......
BW si at least unamwambia mtu hayo maneno yule ambaye uko nae tayari kwenye mahusiano maana kama hauna sijui utaanzia wapi
 
mmh ,nakumbuka wakati bro wangu anamvalisha pete wifi,dah,nilimuona kama wote walikuwa wamebadilika na rangi maan kila mmoja alikuwa na yake kichwan,huyu anafikiria akisema will you atajibiwa nini na huyu mwingine hajui mwenzake atamwambia,

guec wat sasa kilitokea,wifi alianguka baada ya bro kumwambia will u na bro alivyona nilimuona kama alichanganyikiwa,then kimya kilitawala kama 30mins hivi fikiria hapo sasa mapigo ya moyo yalivyokuwa yanabadilika................mpaka alipojibiwa yes,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,machozi yakamtoka ............................

sijui kwangu ningefanyaje coz bado
 
Sijui kwake ilikuwa ni concidence au ni alama flani but kuna rafiki yangu nimediscuss naye hii mada akanambia yeye zake alivishwa wakiwa watupu (alishawahi kuvikwa na wawili) na wote wakaomtenda. Sasa sijui hawa wanaofanya kwa siri huwa wanakuwa wanajua kuwa hawana uhakika au vipi lol. Huyu wa tatu amemvikia kanisani, siku ya fellowship. I hope italast.

Hivi bado hajajitokeza wa kunitunuku kikongwe mie?? we AD, kwani hairuhusiwi mie kupiga goti?! nachoka kusubiri mjue!
 



AD hii topic not silly question kabisa....

Roulette i like your experiences with your Man, it seems you
have so much fun.... na ni dhahiri there is so much love btn you guys....
Mungu awajaalie forever you be....
 
Hivi zile siku tatu za SRM zilikuwaje? au story iliishia kati? Ngoja nikaiangalie

duuuuhhh

Kule mafichoni mlikokwenda na jamaa (watu wakasema eti alikuwa Mbu) kipindi kile nahisi mkienda tena, yatajitokeza hayo! Take my words!!!

ngojaa nimuite muhusika

Ooops! Bora umenikumbusha. Exactly, zilikuwa siku 3 za SRM...Zikitokea tena, lazima MJ1 atarudi analia machozi ya furaha hapa JF!!

MJ1 unatafutwa na hawa wakuu hapo juu my dear ...
 


Rocky hapa kweli wamekuweza.....lol... wewe mbishi saana kutaoa maelezo behind the scene....lol... Naona The Finest in conjuaction na AD wamekuweza kweli kweli.... (Umenifanya nimkumbuke wa no love returned)... I Love your experience.... Regards to your beautiful family....
 

yaani kaka ako alisubiri nusu saa kuambiwa "YES" duhhhhhhh
heeeeeeee kweli alipatishwa ... lakinni mwishoni alipata jibu zuri..
safi sana...

turudi kwako ...
Je wewe umewahi "Fantasize" kuhusu hiyo siku..??
 

duuhhhhh hiyo ya utupu hii mpya loooo
sasa sjui ndo mtu anafanya hivyo ili iwe vigumu ku kimbia ..
au ndo romance zaidi..au baada ya pete ni moja kwa moja ikulu sjaelewa bado
mtu atakuwa na maana gani kukupa ukiwa mtupu... either way alivalishwa
(au pete ya bei chini "mchina" sjui)mmmhhhh

Hapo kwenye red duuuhhh
Hivi kweli kuna ambae anataka kupitia hayo mazoezi
yote asiwe na uhakika??? sjui atakuwa anaakili au anawaza nini tu..

Mbu naomba uje unisaidie kujibu hapo pa blue...
Kabla MJ1 hajapiga goti akiwa na Tanzanite kwenye boxi zuri..
asante...
 
AD hii topic not silly question kabisa....

Roulette i like your experiences with your Man, it seems you
have so much fun.... na ni dhahiri there is so much love btn you guys....
Mungu awajaalie forever you be....

hahaahahahah lol
asantee..

kichwa cha thread kinatakiwa kiwe kina karibisha au kuita ..
si lazima kiendane na topic papo hapo kisiwe nje ya topic...
" attention" tu hakuna kingine...

asante sana mwaya..
sasa utanidokeza yako ilikuwaje??
 

duhhhh
kulikuwa na makubaliano hapa ...
nnatakiwa nimbane TF mpaka aseme yake pia....lol..
Zam zam ...
 
Halafu wewe umemuacha vipi AshaDii akakimbia bila kusema ya kwake

hahahahah
mbona nimesha muuliza hapo juu
Asiporudi itabidi nimfuate Chumbani..

sasa wewe wazidi jiongezea kesi akisema yake..
atakubana zaidi na wewe.. Bora useme tu sasa..
hahahah lol 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…