Simai kujiuzulu ni ushujaa mkubwa kama Nyerere alivyojiuzulu U-PM. Anastahili pongezi, lawama, shutuma, na kukaliwa vikao au apewe maua yake?

Simai kujiuzulu ni ushujaa mkubwa kama Nyerere alivyojiuzulu U-PM. Anastahili pongezi, lawama, shutuma, na kukaliwa vikao au apewe maua yake?

Wanabodi,

Tanzania tuko hapa tulipo kwenye lindi la umasikini uliotopea kutokana na kukosekana viongozi wa kutosha wenye boldness ya kuchukua maamuzi magumu!. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Pombe Magufuli, na huyu dogo Paul Makonda, ni miongoni wa watu wenye boldness ninayoizungumzia hapa!

Ikitokea umelalamikia kuhusu kukosekana kwa boldness kwa viongozi wetu, kwenye issues za uwajibikaji Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma halafu wakajitokeza viongozi vijana ma bold wa viwango hivyo, huwezi kukaa kimya, lazima ujitokeze, upongeze!

Kitendo cha Kujiuzulu kwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Simai Mohamed Said ambaye pia ni mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar, ni kitendo cha ushujaa mkubwa uitwao boldness ya cheo ni dhamana kama alivyofanya Baba wa taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alivyojiuzulu Uwaziri Mkuu wa Tanganyika. Mhe. Simai anastahili pongezi na kupigiwa mfano badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao!

1. Kitendo kilichofanywa na Mhe. Simai, cha kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri, bila kuwepo kwa kashfa yoyote, wala shinikizo lolote, ni kitendo cha ushujaa wa hali ya juu ambacho kinapaswa kupigiwa mfano na wanasiasa wote wa Tanzania. Badala ya Mhe. Simai kushutumiwa, kusakamwa, na kukaliwa vikao!. Mhe Simai, anapaswa kutolewa mfano wa kuwa miongoni mwa mashujaa wa taifa hili.

2. Jina la Mhe. Simai, linaingia moja kwa moja katika historia ya mashujaa wa taifa hili, kway eye kuwa ni mwanasiasa wa pili kujiuzulu wadhifa wake wa kisiasa, bila kutokea kashfa yoyote au shinikizo la nje au la ndani. Shujaa wa kwanza kujiuzulu kwa mtindo huu ni Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ile 1962

3. Kwa vile sii wengi walikuwepo enzi hizo tulipopata uhuru ile Desembe 9, 1961, japo sote tunajua shujaa wa uhuru wa Tanzania (enzi hizo Tanganyika) ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini sii wengi wanafahamu kuwa Tanzania tulipopata uhuru, hatukuwa Jamuhuri, hivyo Nyerere aliyeuleta uhuru wa Tanganyika aliupokea akiwa ni Waziri Mkuu, hivyo Tanzania ilipopata uhuru wake nchi ilikuwa ikiongozwa na Waziri Mkuu, na Mwalimu Nyerere ndie alikuwa Waziri mkuu wa kwanza wa Tanyanyika.

4. Mwalimu Nyerere alidumu kwenye wadhifa huo wa Waziri Mkuu wa Tanganyika kwa kipindi cha siku 40 tuu, mnamo tarehe 20 January mwaka 1962, Mwalimu Nyerere, bila shinikizo kutoka popote kwa yeyote, aliamua kujiuzulu wadhifa wake wa Waziri Mkuu, na Rashidi Mfaume Kawawa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.

5. Kitendo hiki cha Mwalimu Nyerere kuiuzulu wadhifa wa Waziri Mkuu, bila shinikizo lolote kutoka popote, ni kitendo cha kishujaa sana, ukisikia kitu kinachoitwa boldness kwa wanasiasa, hii boldness, ni moja ya sifa muhimu sana kwa mwanasiasa kuwa nayo, Mwalimu Nyerere was bold, Mhe. Simai is bold.

6. Boldness ya aina hii, ilipaswa ionyeshwe na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya tukio la Machi 17, 2021, kwasababu yeye alikula kiapo mbele ya JPM, kwa vile rais aliyemteua hayupo, nchi imepata rais mwingine, alipaswa awe bold ajiuzulu ili bazara la mawaziri lijiuzulu, kumpa Rais Samia Fursa ya kuteua baraza lake jipya ambalo lingekula kiapo chini yake, na kama Samia alikuwa bado anamuhitaji, angemteua tena, kitu muhimu hapo ni kumpa Samia fursa ya kuteua team yake na kula kiapo chini yake, na sio kocha mpya anaingia na kuendelea na team ya zamani, hivyo viongozi wetu wamekosa boldness ya Nyerere na Simai.

7. Serikali zinaendeshwa kwa kanuni ya uwajibikaji wa pamoja , a collective responsibility, ukijiona unatofautiana na wenzako, unapaswa ama unanyamaza kimya ama unapisha kwa kujiuzulu na kukaa pembeni. Enzi za awamu ya tatu, Agustino Lyatonga Mrema, akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu Waziri Mkuu, alitofautiana na kanuni ya uwajibikaji wa Pamoja kwa kulipukia Bungeni kuwa hakubaliani na jambo Fulani lililopitishwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri, Lyatonga alipaswa kujiulu pale pale baada ya kutofautia na uwajibikaji wa Pamoja na sio kuja kutapikia bungeni, hivyo alibidi kujiuzulu kwa shinikizo, lakini Simia hakujiuzulu kwa shikikizo lolote, watu wenye boldness ya aina hii ndio watu wanaohitajika kwa nchi hii kuitoa hapa ilipo kuifikisha kule inapaswa kuwa.

8. Wako viongozi wengi waliwahi kujiuzulu, kwa kuandika barua za kujiuzulu, ama kwa shinikizo baada ya kutokea kashfa kwenye wizara zao, kama ile kashfa ya mauji ya vikongwe iliyopelekea kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Usamama Peter Siyovelwa, Kuliwahi kutokea kashfa ya Sukari, Waziri wa Biashara Iddi Simba akajiuzulu, Kulitokea kashfa ya Richmond, Waziri Mkuu, Edward Lowassa akajiuzulu. Kulitokea kashfa ya mgomo wa madaktari, Waziri wa Afya akajiuzulu.

Nikiwa Dodoma, Waziri mmoja aliitisha press conference akatapika nyongo!, nikamuuliza kwanini usijiuzulu kwanza ndipo uwashe moto?, alinigomea!. Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu haikupita siku 2 baada ya press conference ile, Waziri na Naibu wake wote wakapigwa chini!. Angekuwa bold angekuwa shujaa!.

Wakati wa Bunge maalum la Katiba, Kiongozi mmoja wa Zanzibar akaleta za kuleta!, nikamshauri Dr. Shein Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii, hazikupita siku mbili!, mtu chali!. Ila huyu baada ya kujiunga upinzani na kula lile shavu, sasa amekuwa mtoto mzuri, na kwa vile Rais Samia ni mtu rahim wa haki bin haki, huyu jamaa ndiye anakwenda kuwa rais wa Zanzibar 2025 , na kumkabidhisha Mama Samia tuzo ya Mo Ibrahim!.

9. Wako pia viongozi waliojiuzulu kwa sababu ya matatizo ya kiafya, hapo hakuna boldness, ni circumstances kufuatia hali ya afya yako unajiona huwezi kumsaidia mteuzi hivyo unaamua kujiuzulu.

10. Spika Mhe. Job Yustino Ndugai alipotofautiana na serikali kuhusu mikopo, alipaswa awe bold apishe kuliko kuja kujiuzulu kwa aibu!, tulimshauri awe bold, aachie ngazi, kishujaa aonekane shujaa, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! lakini yeye alikomaa, tena nakumbuka vizuri nilimuuliza Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

akaja kuandika barua ya kujiuzulu kwa shinikizo hivyo kupanic na kuikosea, hatimaye akajiuzulu kikondoo shingo chini Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

11. Niliwahi kuandika Makala kuhusu kokosekana wabunge wenye boldness ya aina hii ndani ya bunge letuhivyo Bunge kushindwa kuisimamia serikali kikamilifu, hata sasa ndani ya bunge letu, wabunge bold ni wa kuhesabika mmoja wao ni Mhe. Luhaga Mpina. Bunge butu linaloingiliwa na kunyamaza, linapojikomba na kujipendekeza kwa Rais, linaweza kweli kuisimamia Serikali?! na Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? na Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? hata Bunge hili la sasa bado linajipendekeza kwa serikali not expressly but impliedly kwa kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu wa kuisimamia serikali!. Serikali inapeleka madudu Bungeni, Bunge linayapitisha madudu hayo hivyo hivyo yalivyo!. Ushahidi ni IGA ya DPW ni mkataba batili na juzi wamepitisha sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba!.

12. Pia kuna kitu kinaitwa kujiuzulu na kutishia kujiuzulu, kujiuzulu ni kuamua with boldness, kujiuzulu kwa kuandika barua ya kujiuzulu na kutangaza mwenyewe kujiuzulu kisha kupeleka barua ya kujiuzulu kwa mamlaka ya uteuzi, hiki ndicho alichokifanya Mhe Simai na hii ndio boldness ninayoizungumzia,

13. Kutishia kujiuzulu ni kuandika barua ya kujiuzulu kwa mamlaka yako ya uteuzi, as if ni kuomba ruhusa ya kujiuzulu, ukikubaliwa ndipo unatangaza, wako viongozi wengi wameandika barua hizi, lakini wengine hazikukubaliwa hivyo hawakujiuzulu, ndio maana nasisitiza hii boldness iliyoonyeshwa na Mhe Simai, inapaswa ipongezwe na iwe ni ya kupigiwa mfano, hivyo badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao, Mhe. Simai apewe maua yake.

Paskali
Iltakiwa kuwe na serikali ya mpito miezi mitatu baada ya,JPM kufariki. Hapo watu wangegombea na kuuza sera zao. Anayekubalika zaida anapewa mamlaka, mandate anachagua watu wake.

Majaliwa, Bashiru, Polepole, Lissu, Rungwe, Lukuvi, Samia ,Cheyo wangeuza sera zao. Nchi ingechagua mmoja.

Vitu vya kurithi huna uchungu navyo kuliko vitu ulivyovitafuta na kuwapa ahadi wananchi.

Umeme usingekuwa tatizo nchini angekuwepo JPM, migogoro ya ardhi, polisi, mahakama ingepungua pamoja na madhaifu yake mengine alikuwa na nia ya dhati kulikomboa hili taifa.
 
Wanabodi,

Tanzania tuko hapa tulipo kwenye lindi la umasikini uliotopea kutokana na kukosekana viongozi wa kutosha wenye boldness ya kuchukua maamuzi magumu!. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Pombe Magufuli, na huyu dogo Paul Makonda, ni miongoni wa watu wenye boldness ninayoizungumzia hapa!

Ikitokea umelalamikia kuhusu kukosekana kwa boldness kwa viongozi wetu, kwenye issues za uwajibikaji Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma halafu wakajitokeza viongozi vijana ma bold wa viwango hivyo, huwezi kukaa kimya, lazima ujitokeze, upongeze!

Kitendo cha Kujiuzulu kwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Simai Mohamed Said ambaye pia ni mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar, ni kitendo cha ushujaa mkubwa uitwao boldness ya cheo ni dhamana kama alivyofanya Baba wa taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alivyojiuzulu Uwaziri Mkuu wa Tanganyika. Mhe. Simai anastahili pongezi na kupigiwa mfano badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao!

1. Kitendo kilichofanywa na Mhe. Simai, cha kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri, bila kuwepo kwa kashfa yoyote, wala shinikizo lolote, ni kitendo cha ushujaa wa hali ya juu ambacho kinapaswa kupigiwa mfano na wanasiasa wote wa Tanzania. Badala ya Mhe. Simai kushutumiwa, kusakamwa, na kukaliwa vikao!. Mhe Simai, anapaswa kutolewa mfano wa kuwa miongoni mwa mashujaa wa taifa hili.

2. Jina la Mhe. Simai, linaingia moja kwa moja katika historia ya mashujaa wa taifa hili, kway eye kuwa ni mwanasiasa wa pili kujiuzulu wadhifa wake wa kisiasa, bila kutokea kashfa yoyote au shinikizo la nje au la ndani. Shujaa wa kwanza kujiuzulu kwa mtindo huu ni Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ile 1962

3. Kwa vile sii wengi walikuwepo enzi hizo tulipopata uhuru ile Desembe 9, 1961, japo sote tunajua shujaa wa uhuru wa Tanzania (enzi hizo Tanganyika) ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini sii wengi wanafahamu kuwa Tanzania tulipopata uhuru, hatukuwa Jamuhuri, hivyo Nyerere aliyeuleta uhuru wa Tanganyika aliupokea akiwa ni Waziri Mkuu, hivyo Tanzania ilipopata uhuru wake nchi ilikuwa ikiongozwa na Waziri Mkuu, na Mwalimu Nyerere ndie alikuwa Waziri mkuu wa kwanza wa Tanyanyika.

4. Mwalimu Nyerere alidumu kwenye wadhifa huo wa Waziri Mkuu wa Tanganyika kwa kipindi cha siku 40 tuu, mnamo tarehe 20 January mwaka 1962, Mwalimu Nyerere, bila shinikizo kutoka popote kwa yeyote, aliamua kujiuzulu wadhifa wake wa Waziri Mkuu, na Rashidi Mfaume Kawawa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.

5. Kitendo hiki cha Mwalimu Nyerere kuiuzulu wadhifa wa Waziri Mkuu, bila shinikizo lolote kutoka popote, ni kitendo cha kishujaa sana, ukisikia kitu kinachoitwa boldness kwa wanasiasa, hii boldness, ni moja ya sifa muhimu sana kwa mwanasiasa kuwa nayo, Mwalimu Nyerere was bold, Mhe. Simai is bold.

6. Boldness ya aina hii, ilipaswa ionyeshwe na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya tukio la Machi 17, 2021, kwasababu yeye alikula kiapo mbele ya JPM, kwa vile rais aliyemteua hayupo, nchi imepata rais mwingine, alipaswa awe bold ajiuzulu ili bazara la mawaziri lijiuzulu, kumpa Rais Samia Fursa ya kuteua baraza lake jipya ambalo lingekula kiapo chini yake, na kama Samia alikuwa bado anamuhitaji, angemteua tena, kitu muhimu hapo ni kumpa Samia fursa ya kuteua team yake na kula kiapo chini yake, na sio kocha mpya anaingia na kuendelea na team ya zamani, hivyo viongozi wetu wamekosa boldness ya Nyerere na Simai.

7. Serikali zinaendeshwa kwa kanuni ya uwajibikaji wa pamoja , a collective responsibility, ukijiona unatofautiana na wenzako, unapaswa ama unanyamaza kimya ama unapisha kwa kujiuzulu na kukaa pembeni. Enzi za awamu ya tatu, Agustino Lyatonga Mrema, akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu Waziri Mkuu, alitofautiana na kanuni ya uwajibikaji wa Pamoja kwa kulipukia Bungeni kuwa hakubaliani na jambo Fulani lililopitishwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri, Lyatonga alipaswa kujiulu pale pale baada ya kutofautia na uwajibikaji wa Pamoja na sio kuja kutapikia bungeni, hivyo alibidi kujiuzulu kwa shinikizo, lakini Simia hakujiuzulu kwa shikikizo lolote, watu wenye boldness ya aina hii ndio watu wanaohitajika kwa nchi hii kuitoa hapa ilipo kuifikisha kule inapaswa kuwa.

8. Wako viongozi wengi waliwahi kujiuzulu, kwa kuandika barua za kujiuzulu, ama kwa shinikizo baada ya kutokea kashfa kwenye wizara zao, kama ile kashfa ya mauji ya vikongwe iliyopelekea kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Usamama Peter Siyovelwa, Kuliwahi kutokea kashfa ya Sukari, Waziri wa Biashara Iddi Simba akajiuzulu, Kulitokea kashfa ya Richmond, Waziri Mkuu, Edward Lowassa akajiuzulu. Kulitokea kashfa ya mgomo wa madaktari, Waziri wa Afya akajiuzulu.

Nikiwa Dodoma, Waziri mmoja aliitisha press conference akatapika nyongo!, nikamuuliza kwanini usijiuzulu kwanza ndipo uwashe moto?, alinigomea!. Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu haikupita siku 2 baada ya press conference ile, Waziri na Naibu wake wote wakapigwa chini!. Angekuwa bold angekuwa shujaa!.

Wakati wa Bunge maalum la Katiba, Kiongozi mmoja wa Zanzibar akaleta za kuleta!, nikamshauri Dr. Shein Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii, hazikupita siku mbili!, mtu chali!. Ila huyu baada ya kujiunga upinzani na kula lile shavu, sasa amekuwa mtoto mzuri, na kwa vile Rais Samia ni mtu rahim wa haki bin haki, huyu jamaa ndiye anakwenda kuwa rais wa Zanzibar 2025 , na kumkabidhisha Mama Samia tuzo ya Mo Ibrahim!.

9. Wako pia viongozi waliojiuzulu kwa sababu ya matatizo ya kiafya, hapo hakuna boldness, ni circumstances kufuatia hali ya afya yako unajiona huwezi kumsaidia mteuzi hivyo unaamua kujiuzulu.

10. Spika Mhe. Job Yustino Ndugai alipotofautiana na serikali kuhusu mikopo, alipaswa awe bold apishe kuliko kuja kujiuzulu kwa aibu!, tulimshauri awe bold, aachie ngazi, kishujaa aonekane shujaa, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! lakini yeye alikomaa, tena nakumbuka vizuri nilimuuliza Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

akaja kuandika barua ya kujiuzulu kwa shinikizo hivyo kupanic na kuikosea, hatimaye akajiuzulu kikondoo shingo chini Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

11. Niliwahi kuandika Makala kuhusu kokosekana wabunge wenye boldness ya aina hii ndani ya bunge letuhivyo Bunge kushindwa kuisimamia serikali kikamilifu, hata sasa ndani ya bunge letu, wabunge bold ni wa kuhesabika mmoja wao ni Mhe. Luhaga Mpina. Bunge butu linaloingiliwa na kunyamaza, linapojikomba na kujipendekeza kwa Rais, linaweza kweli kuisimamia Serikali?! na Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? na Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? hata Bunge hili la sasa bado linajipendekeza kwa serikali not expressly but impliedly kwa kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu wa kuisimamia serikali!. Serikali inapeleka madudu Bungeni, Bunge linayapitisha madudu hayo hivyo hivyo yalivyo!. Ushahidi ni IGA ya DPW ni mkataba batili na juzi wamepitisha sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba!.

12. Pia kuna kitu kinaitwa kujiuzulu na kutishia kujiuzulu, kujiuzulu ni kuamua with boldness, kujiuzulu kwa kuandika barua ya kujiuzulu na kutangaza mwenyewe kujiuzulu kisha kupeleka barua ya kujiuzulu kwa mamlaka ya uteuzi, hiki ndicho alichokifanya Mhe Simai na hii ndio boldness ninayoizungumzia,

13. Kutishia kujiuzulu ni kuandika barua ya kujiuzulu kwa mamlaka yako ya uteuzi, as if ni kuomba ruhusa ya kujiuzulu, ukikubaliwa ndipo unatangaza, wako viongozi wengi wameandika barua hizi, lakini wengine hazikukubaliwa hivyo hawakujiuzulu, ndio maana nasisitiza hii boldness iliyoonyeshwa na Mhe Simai, inapaswa ipongezwe na iwe ni ya kupigiwa mfano, hivyo badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao, Mhe. Simai apewe maua yake.

Paskali

Ila nimekuelewa vizuri. SSH angekuwa mzalendo ingebidi ajiuzulu baada ya miezi mitatu. Aitishe uchaguzi mpya, huru at least ndani ya chama chake.

Ndugai hakufanya makosa yoyote. Lukuvi, Kabudi, Polepole , Kalemani, Majaliwa, Jaffo wote wamefukuzwa kwa unafiki, majungu, kiaina.

SSH Angeshinda ndio angeteua baraza lake la mawaziri.

Naona kampeni zake zingekuwa nafukuza viongozi wazuri wote, hamtapa, umeme, maji, sukari 5000, timua machinga,choma masoko, uza Ngorongoro, bandari, misitu.

Holiday kila mwezi labda angeshinda.
 
Mleta mada, Makonda unamuona ana boldness? Kipimo chake subiri 2025 ccm wakiiba kula za uchavuzi kama atajiuzuru. Akiweza hili, nitamweka kwenye kundi unalolisema wewe.
Kwa sasa yupo kwenye kundi la vijana wajanja wanaojua kuzichanga karata ili kupata wakitakacho huko mbeleni, ni hatari kupewa nyazfa za juu za nchi
 
Wanabodi,

Tanzania tuko hapa tulipo kwenye lindi la umasikini uliotopea kutokana na kukosekana viongozi wa kutosha wenye boldness ya kuchukua maamuzi magumu!. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Pombe Magufuli, na huyu dogo Paul Makonda, ni miongoni wa watu wenye boldness ninayoizungumzia hapa!

Ikitokea umelalamikia kuhusu kukosekana kwa boldness kwa viongozi wetu, kwenye issues za uwajibikaji Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma halafu wakajitokeza viongozi vijana ma bold wa viwango hivyo, huwezi kukaa kimya, lazima ujitokeze, upongeze!

Kitendo cha Kujiuzulu kwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Simai Mohamed Said ambaye pia ni mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar, ni kitendo cha ushujaa mkubwa uitwao boldness ya cheo ni dhamana kama alivyofanya Baba wa taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alivyojiuzulu Uwaziri Mkuu wa Tanganyika. Mhe. Simai anastahili pongezi na kupigiwa mfano badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao!

1. Kitendo kilichofanywa na Mhe. Simai, cha kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri, bila kuwepo kwa kashfa yoyote, wala shinikizo lolote, ni kitendo cha ushujaa wa hali ya juu ambacho kinapaswa kupigiwa mfano na wanasiasa wote wa Tanzania. Badala ya Mhe. Simai kushutumiwa, kusakamwa, na kukaliwa vikao!. Mhe Simai, anapaswa kutolewa mfano wa kuwa miongoni mwa mashujaa wa taifa hili.

2. Jina la Mhe. Simai, linaingia moja kwa moja katika historia ya mashujaa wa taifa hili, kway eye kuwa ni mwanasiasa wa pili kujiuzulu wadhifa wake wa kisiasa, bila kutokea kashfa yoyote au shinikizo la nje au la ndani. Shujaa wa kwanza kujiuzulu kwa mtindo huu ni Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ile 1962

3. Kwa vile sii wengi walikuwepo enzi hizo tulipopata uhuru ile Desembe 9, 1961, japo sote tunajua shujaa wa uhuru wa Tanzania (enzi hizo Tanganyika) ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini sii wengi wanafahamu kuwa Tanzania tulipopata uhuru, hatukuwa Jamuhuri, hivyo Nyerere aliyeuleta uhuru wa Tanganyika aliupokea akiwa ni Waziri Mkuu, hivyo Tanzania ilipopata uhuru wake nchi ilikuwa ikiongozwa na Waziri Mkuu, na Mwalimu Nyerere ndie alikuwa Waziri mkuu wa kwanza wa Tanyanyika.

4. Mwalimu Nyerere alidumu kwenye wadhifa huo wa Waziri Mkuu wa Tanganyika kwa kipindi cha siku 40 tuu, mnamo tarehe 20 January mwaka 1962, Mwalimu Nyerere, bila shinikizo kutoka popote kwa yeyote, aliamua kujiuzulu wadhifa wake wa Waziri Mkuu, na Rashidi Mfaume Kawawa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.

5. Kitendo hiki cha Mwalimu Nyerere kuiuzulu wadhifa wa Waziri Mkuu, bila shinikizo lolote kutoka popote, ni kitendo cha kishujaa sana, ukisikia kitu kinachoitwa boldness kwa wanasiasa, hii boldness, ni moja ya sifa muhimu sana kwa mwanasiasa kuwa nayo, Mwalimu Nyerere was bold, Mhe. Simai is bold.

6. Boldness ya aina hii, ilipaswa ionyeshwe na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya tukio la Machi 17, 2021, kwasababu yeye alikula kiapo mbele ya JPM, kwa vile rais aliyemteua hayupo, nchi imepata rais mwingine, alipaswa awe bold ajiuzulu ili bazara la mawaziri lijiuzulu, kumpa Rais Samia Fursa ya kuteua baraza lake jipya ambalo lingekula kiapo chini yake, na kama Samia alikuwa bado anamuhitaji, angemteua tena, kitu muhimu hapo ni kumpa Samia fursa ya kuteua team yake na kula kiapo chini yake, na sio kocha mpya anaingia na kuendelea na team ya zamani, hivyo viongozi wetu wamekosa boldness ya Nyerere na Simai.

7. Serikali zinaendeshwa kwa kanuni ya uwajibikaji wa pamoja , a collective responsibility, ukijiona unatofautiana na wenzako, unapaswa ama unanyamaza kimya ama unapisha kwa kujiuzulu na kukaa pembeni. Enzi za awamu ya tatu, Agustino Lyatonga Mrema, akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu Waziri Mkuu, alitofautiana na kanuni ya uwajibikaji wa Pamoja kwa kulipukia Bungeni kuwa hakubaliani na jambo Fulani lililopitishwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri, Lyatonga alipaswa kujiulu pale pale baada ya kutofautia na uwajibikaji wa Pamoja na sio kuja kutapikia bungeni, hivyo alibidi kujiuzulu kwa shinikizo, lakini Simia hakujiuzulu kwa shikikizo lolote, watu wenye boldness ya aina hii ndio watu wanaohitajika kwa nchi hii kuitoa hapa ilipo kuifikisha kule inapaswa kuwa.

8. Wako viongozi wengi waliwahi kujiuzulu, kwa kuandika barua za kujiuzulu, ama kwa shinikizo baada ya kutokea kashfa kwenye wizara zao, kama ile kashfa ya mauji ya vikongwe iliyopelekea kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Usamama Peter Siyovelwa, Kuliwahi kutokea kashfa ya Sukari, Waziri wa Biashara Iddi Simba akajiuzulu, Kulitokea kashfa ya Richmond, Waziri Mkuu, Edward Lowassa akajiuzulu. Kulitokea kashfa ya mgomo wa madaktari, Waziri wa Afya akajiuzulu.

Nikiwa Dodoma, Waziri mmoja aliitisha press conference akatapika nyongo!, nikamuuliza kwanini usijiuzulu kwanza ndipo uwashe moto?, alinigomea!. Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu haikupita siku 2 baada ya press conference ile, Waziri na Naibu wake wote wakapigwa chini!. Angekuwa bold angekuwa shujaa!.

Wakati wa Bunge maalum la Katiba, Kiongozi mmoja wa Zanzibar akaleta za kuleta!, nikamshauri Dr. Shein Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii, hazikupita siku mbili!, mtu chali!. Ila huyu baada ya kujiunga upinzani na kula lile shavu, sasa amekuwa mtoto mzuri, na kwa vile Rais Samia ni mtu rahim wa haki bin haki, huyu jamaa ndiye anakwenda kuwa rais wa Zanzibar 2025 , na kumkabidhisha Mama Samia tuzo ya Mo Ibrahim!.

9. Wako pia viongozi waliojiuzulu kwa sababu ya matatizo ya kiafya, hapo hakuna boldness, ni circumstances kufuatia hali ya afya yako unajiona huwezi kumsaidia mteuzi hivyo unaamua kujiuzulu.

10. Spika Mhe. Job Yustino Ndugai alipotofautiana na serikali kuhusu mikopo, alipaswa awe bold apishe kuliko kuja kujiuzulu kwa aibu!, tulimshauri awe bold, aachie ngazi, kishujaa aonekane shujaa, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! lakini yeye alikomaa, tena nakumbuka vizuri nilimuuliza Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

akaja kuandika barua ya kujiuzulu kwa shinikizo hivyo kupanic na kuikosea, hatimaye akajiuzulu kikondoo shingo chini Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

11. Niliwahi kuandika Makala kuhusu kokosekana wabunge wenye boldness ya aina hii ndani ya bunge letuhivyo Bunge kushindwa kuisimamia serikali kikamilifu, hata sasa ndani ya bunge letu, wabunge bold ni wa kuhesabika mmoja wao ni Mhe. Luhaga Mpina. Bunge butu linaloingiliwa na kunyamaza, linapojikomba na kujipendekeza kwa Rais, linaweza kweli kuisimamia Serikali?! na Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? na Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? hata Bunge hili la sasa bado linajipendekeza kwa serikali not expressly but impliedly kwa kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu wa kuisimamia serikali!. Serikali inapeleka madudu Bungeni, Bunge linayapitisha madudu hayo hivyo hivyo yalivyo!. Ushahidi ni IGA ya DPW ni mkataba batili na juzi wamepitisha sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba!.

12. Pia kuna kitu kinaitwa kujiuzulu na kutishia kujiuzulu, kujiuzulu ni kuamua with boldness, kujiuzulu kwa kuandika barua ya kujiuzulu na kutangaza mwenyewe kujiuzulu kisha kupeleka barua ya kujiuzulu kwa mamlaka ya uteuzi, hiki ndicho alichokifanya Mhe Simai na hii ndio boldness ninayoizungumzia,

13. Kutishia kujiuzulu ni kuandika barua ya kujiuzulu kwa mamlaka yako ya uteuzi, as if ni kuomba ruhusa ya kujiuzulu, ukikubaliwa ndipo unatangaza, wako viongozi wengi wameandika barua hizi, lakini wengine hazikukubaliwa hivyo hawakujiuzulu, ndio maana nasisitiza hii boldness iliyoonyeshwa na Mhe Simai, inapaswa ipongezwe na iwe ni ya kupigiwa mfano, hivyo badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao, Mhe. Simai apewe maua yake.

Paskali
Tumekusikia na kukuelewa. Ila Mkuu hapo namba 5 kuna kitu kimejificha. Nacho ni sababu za aliyekuwa PM wa wakati huo kujiuzuru kwa hiari yake. Upatapo nafasi funguka zaidi kwa manufaa ya kizazi cha sasa.
Wasalaam.
 
Mwalimu Nyerere alirekebisha mambo mengi aliyokosea awali, kwa hilo kila mtu anatambua mchango wake na uzalendo wake.

Yeye ndiye aloyeasisi ukomo wa madaraka kwa miaka 10 baada ya yeye kukaa madarakani miaka zaidi ya ishirini. Yeye ndiye aliye push turudishe mfumo wa vyama vingi ambao yeye mwenyewe aliufuta.

Kujiuzulu kwake uwaziri mkuu hakukuwa kwa sababu alikiwa anawajibika, bali ilikuwa ni kwasababu anakwenda kuwa rais wa Tanganyika nafasi iliyokuwa na nguvu na utukuvu zaidi. Hiyo ni FACT!
Kwa jinsi unavyojieleza hapo juu, ukiujua ukweli hutaamini kabisa.
 
Mwalimu Nyerere alirekebisha mambo mengi aliyokosea awali, kwa hilo kila mtu anatambua mchango wake na uzalendo wake.

Yeye ndiye aloyeasisi ukomo wa madaraka kwa miaka 10 baada ya yeye kukaa madarakani miaka zaidi ya ishirini. Yeye ndiye aliye push turudishe mfumo wa vyama vingi ambao yeye mwenyewe aliufuta.

Kujiuzulu kwake uwaziri mkuu hakukuwa kwa sababu alikiwa anawajibika, bali ilikuwa ni kwasababu anakwenda kuwa rais wa Tanganyika nafasi iliyokuwa na nguvu na utukuvu zaidi. Hiyo ni FACT!
Unapokiri Nyerere alirekebisha mengi aliyokosea awali, halafu tena bado unaendelea kutumia maneno "nguvu na utukufu" unaonesha vile usivyojua maana ya kile unachoandika.

Kama Nyerere angekuwa anapenda unachoita "nguvu na utukufu" simply asingefanya marekebisho yoyote, ili aendelee kufaidi hicho unachoita "nguvu na utukufu".

Lakini kwa marekebisho aliyofanya unayokiri mwenyewe, na pale alipotamka Katiba yetu inaweza kumfanya Rais awe dikteta, lakini yeye akaamua kun'gatuka, kunazidi kuonesha usivyojua maana ya "nguvu na utukufu".

Pia, hata ukilazimisha kuita "FACT", ukweli ni kwamba hiyo "FACT" yako haina maana, simply umeamua kujiliwaza tu na maneno yaliyokosa uhalisia, tena yanayopingana na maelezo yako mwenyewe ya awali.

Nyerere kujiuzulu uwaziri mkuu ili kwenda kuwa Rais, alifanya vile ili kukamata hiyo post ambayo mwanzo haikuwepo, kulazimisha kusema alifuata "nguvu na utukufu" ni kujifurahisha tu mwenyewe, utukufu na nguvu zipi ambazo mwenyewe aliziacha bila kushurutishwa na yeyote? na akatuachia rasilimali zote kama zilivyo?!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Pumbavu miaka
Kama Nyerere angekuwa na tamaa ya madaraka asingen'gatuka, angehakikisha anafia madarakani.

Ulichoandika hapo juu simply ni mawazo yako, yanayotokana na aina ya viongozi tulionao hivi sasa waliokumbatia utukufu wa kimamlaka wakiwa wanaendeshwa kwenye v8, bila kujali kero mbalimbali zinazowasumbua watanzania chini ya idara wanazoongoza.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
24 aliyokaa nyerere ni midogo? Mambo yalimshindal nyerere ndipo akamshushia zigo mwinyi
 
Mmmmm kuna kitu amekisema Rais H Mwinyi kuwa jamaa anaonekana alikuwq anapiga hizo deal kuingiza pombe visiwani umesikia? Tufungue zaidi kama alikuwq mdau. Huoni hiyo ni conflict of interest? P naomba dadavua kwa makini kuhusu hili. Hilo sio shinikizo?
Mwinyi mzushi tu kama ilikuwa kweki anamaslahi si angempiga chini.
 
Pascal Mayalla bandiko lako halijitisholezi kwa kueleza 'dhana' ya kujiuzulu na si kwanini Simai apewe 'ushajaa'
Ningeshauri ueleze kwa kina kwanini alijiuzulu na kwanini hatua hiyo imekuwa nzuri.

Rais A.H.Mwinyi alijiuzulu kwa kashfa ya mauaji ya Vikongwe akiwa Waziri ili kulinda heshima ya Bosi wake.

Simai amefanya kipi ?

Bila kufafanua ipo siku Waziri atajiuzulu kwasababu tu amehisi habari za mchepuko zitavuja, naye tumwite shujaa kwasababu tu amejiuzulu! Ushanfaham mkuu!

JokaKuu
 
Back
Top Bottom