zoomantz
Member
- Mar 24, 2017
- 54
- 42
Kama upo sirias na unahitaji kuwekeza ili uweze kukuza uchumi wako, tafadhali naomba niambie ili nikupe mbinu znazonifanya kila siku nizidi kuwa bora zaidi kiuchumi, nipo tayari kukusaidia kimtazamo, na mbinu za kukuza mtaji au kipato chako kwa umakini zaidi kwa mfumo sahihi ,tukiwa kama vijana, tuliokusudia kukuza maendeleo yetu kupitia mikondo tofauti tofaut ya kuongeza kipato.
Using'ang'anie mshahara tu, au biashara moja tu ambayo umeizoea , utaona mambo hayasongi mbele kwa wakati. Hebu ongeza mkondo mwingine wa kipato na ubadilishane mawazo na watu tofauti wenye malengo ya kufanikiwa, hakika utaona mabadiliko makubwa sana katika uchumi wako.
Tusiishie kuilaum serikali hebu tuangalie ubunifu na mbinu sahihi za kutufanikishia malengo yetu. Niambie kama upo tayari nikusaidie,,,,mbinu ya kukuza mtaji wako uweze kuwekeza zaidi, uskariri maisha,,, vijana makin tunasonga mbele sasa kwa nin wew usubir kesho ambayo hauijui?
Using'ang'anie mshahara tu, au biashara moja tu ambayo umeizoea , utaona mambo hayasongi mbele kwa wakati. Hebu ongeza mkondo mwingine wa kipato na ubadilishane mawazo na watu tofauti wenye malengo ya kufanikiwa, hakika utaona mabadiliko makubwa sana katika uchumi wako.
Tusiishie kuilaum serikali hebu tuangalie ubunifu na mbinu sahihi za kutufanikishia malengo yetu. Niambie kama upo tayari nikusaidie,,,,mbinu ya kukuza mtaji wako uweze kuwekeza zaidi, uskariri maisha,,, vijana makin tunasonga mbele sasa kwa nin wew usubir kesho ambayo hauijui?