Simamia mwenyewe kazi zako muhimu na epuka kufanya kazi kwa simu

Hongera sana kua na uaminifu wengi kushidwa kigezo cha uaminifu.
 
kiongozi una mchango mdogo sana
Wewe bwana mie nakuwaje nanmchango mkubwa wakati kuanzia shule mie backbencher...isingekuwa nguvu na vyeo vya wazazu wangu ata hii nafasi ya kuchezea marimba za serikali huku nachat jf nisingipata.

Mie naangalia mbususu basi mambo ya mchango mkubwa nawaachia wadhungu maana hao kweli unaangalia dunia unajisemea "damn..these white filks realy know how to use their heads"
 
😂😂😂 akili za kuchagulia mbususu na kuvukia barabara almradi ufike hom
 
Watanzania kwa jumla wana roho mbaya hata awe ndugu yo hata kuharibia uta umweke ofisini kwako, hawana huruma na mali ya mtu .......bahati mbaya mwenye pesa hana mda mwenye mda hana pesa
wengi wetu tupo ivo uaminifu sifuri kabisa aka zero
 
daa pole sana mkuu kwa mkasa huu rafiki yako
 
Case kama hiyo alifanyiwa member mwenzetu. Ikanifanya nimejua mpaka kobilo na kamba kunyoosha, kupiga hesabu za vipimo na idadi ya tofari zinazohitajika, Switch, Switch Socket, MCB NA RCCB, 🤣 idadi ya vigae, gypsum board, Ratio Sahihi ya kiserikali na ya kawaida, na vingine nimesahau🤣🤣 .Ukiweza kunipiga Uwe mtaalam sana, Au kama ni fundi maiko mzoefu utanuna tu na kunikomesha Kwenye Quantity.
 
Mara nyingi hawa huwa ni wafanyakazi mafisadi wa serikalini wanaopiga fedha na hawana muda wa kusimamia mali zao na pia wanaogopa wasijulikane kwa wanafanya mradi
 
sijui Mo na baghresa wanafanyaje kazi zao peke yao
 
Wasukuma bwana, muwe mnauliza vizuri
Siyo boswadaa, bali ni Boss wa dar!
Kama vile call me J, mkasema kolomije!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…