Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Hali imekuwa si shwari baada ya Selina kumkimbia mume wake waliyedumu nae kwenye ndoa miaka 10. Mr Rogers alikuwa ni mfanyabiashara hapo Kariakoo kisha kumuachia mke wake duka aendelee kulisimamia na yeye kuanza kusafiri mikoani kununua mazao kuyaleta Dar es salaam.
Basi Mungu aliwajalia hela kweli ila sasa miaka 2 nyuma Mr Rogers alipata ajali na amekuwa mtu wa kukaa tu kitandani, sasa mke kamkimbia kabeba hela zote benki na alipo hajulikani. Ila hivi majuzi zimekuja ripoti kuwa alipata ajali ya pikipiki na yupo hospital Bugando mahututi.
Sasa Mr Rogers anataka mke wake akipata nafuu kama lakini, arudi nyumbani waendelee kuishi. Is this fair at all, wanawake acheni tamaa jueni mali zote mtaziacha huku duniani!
Basi Mungu aliwajalia hela kweli ila sasa miaka 2 nyuma Mr Rogers alipata ajali na amekuwa mtu wa kukaa tu kitandani, sasa mke kamkimbia kabeba hela zote benki na alipo hajulikani. Ila hivi majuzi zimekuja ripoti kuwa alipata ajali ya pikipiki na yupo hospital Bugando mahututi.
Sasa Mr Rogers anataka mke wake akipata nafuu kama lakini, arudi nyumbani waendelee kuishi. Is this fair at all, wanawake acheni tamaa jueni mali zote mtaziacha huku duniani!