Simanzi imetanda mke amkimbia mume wake wa miaka 10!

Simanzi imetanda mke amkimbia mume wake wa miaka 10!

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Hali imekuwa si shwari baada ya Selina kumkimbia mume wake waliyedumu nae kwenye ndoa miaka 10. Mr Rogers alikuwa ni mfanyabiashara hapo Kariakoo kisha kumuachia mke wake duka aendelee kulisimamia na yeye kuanza kusafiri mikoani kununua mazao kuyaleta Dar es salaam.

Basi Mungu aliwajalia hela kweli ila sasa miaka 2 nyuma Mr Rogers alipata ajali na amekuwa mtu wa kukaa tu kitandani, sasa mke kamkimbia kabeba hela zote benki na alipo hajulikani. Ila hivi majuzi zimekuja ripoti kuwa alipata ajali ya pikipiki na yupo hospital Bugando mahututi.

Sasa Mr Rogers anataka mke wake akipata nafuu kama lakini, arudi nyumbani waendelee kuishi. Is this fair at all, wanawake acheni tamaa jueni mali zote mtaziacha huku duniani!
 
Wanawake nuksii Baba yangu mkubwa kakimbiwa na mkewe na wanawatoto wakubwa tu ila mwanamke kasepa
 
Hivi unaanzaje kuikabidhi mbususu access ya Mali zako zote wanaume tunakwama wapi na tunapumbazwa na Nini.....
Tunaambiwa kwenye biblia ninyi mwili mmoja mmekuwa wamoja , alaf biblia hyo hyo inaonya wanawake muishi nao Kwa akili, daah Adam alimuamin Eva, dk ishirini nyingi akakuta Demu kashaipiga bei dunia kwa mwamba Shetani ....

Ni kosa kubwa kumuamini mwanamke hata kama mnapendana vip keep distance , wenzetu ni weak mno ,
 
Laana ya Mungu haiwezi muacha mtu salama! huyo ndio hata kukaa hata kaa kitandani sasa.
 
Wanawake nuksii Baba yangu mkubwa kakimbiwa na mkewe na wanawatoto wakubwa tu ila mwanamke kasepa
Inauma sana kumkimbia mwenzako akiwa na shida. Mimi kaka yangu aliugua akashindwa kufanya kazi. Mwanamke alibeba hadi godoro walilokuwa wanalalia watoto. Kaenda huko kazalishwa mtoto mwingine katelekezwa. Imebidi tuchukue watoto wa kaka tuwalee. Niko na binti yake anamaliza form four mwaka huu, kijana yuko la sita.
 
Sasa Rogers aliyetendewa yote haya mkuu hana shida na anamtaka mkewe arudi wayajenge, huyu Rogers ndio alitafuta mali zote mwanzoni na ndio hana tatizo anamtaka mkewe, huyu Rogers ndio aliyetendewa na huyo mama na anamtaka mkewe arudi, hivi wewe inakuwaje inakuuma zaidi kumliko Rogers mkuu?

Ujue maisha yana siri sana lakoni siri zingine ziko wazi kabisa na ukizifuata unafanikiwa fasta. Achana na maisha ya watu. Kama Rogers mwenyewe anamtaka mkewe sisi kina nani tuumie zaidi yake!

Tumsapoti Roger maisha yawe na thamani.
 
Tunaambiwa kwenye biblia ninyi mwili mmoja mmekuwa wamoja , alaf biblia hyo hyo inaonya wanawake muishi nao Kwa akili , daah Adam alimuamin Eva , dk ishirini nyingi akakuta Demu kashaipiga bei dunia kwa mwamba Shetani ....

Ni kosa kubwa kumuamini mwanamke hata kama mnapendana vip keep distance , wenzetu ni weak mno ,
Taratibu mkuu Sasa hivi nchi imeshikwa na wenyewe. Utauñdiwa zengwe
 
Uzi wao tena, ngoja nifike nyumbani niufatilie kwa kina...
 
Back
Top Bottom