hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji38][emoji38][emoji38]Mwanamke ajafa dàaah nimeumia sana kunusurika kufa kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Mwanamke ajafa dàaah nimeumia sana kunusurika kufa kwake.
[emoji16][emoji16][emoji16] tukiwa ambia msioe hamuelewiWanawake nuksii Baba yangu mkubwa kakimbiwa na mkewe na wanawatoto wakubwa tu ila mwanamke kasepa
Mwanamke ajafa dàaah nimeumia sana kunusurika kufa kwake.
Tamaa mbaysaHali imekuwa si shwari baada ya Selina kumkimbia mume wake waliyedumu nae kwenye ndoa miaka 10. Mr Rogers alikuwa ni mfanyabiashara hapo Kariakoo kisha kumuachia mke wake duka aendelee kulisimamia na yeye kuanza kusafiri mikoani kununua mazao kuyaleta Dar es salaam.
Basi Mungu aliwajalia hela kweli ila sasa miaka 2 nyuma Mr Rogers alipata ajali na amekuwa mtu wa kukaa tu kitandani, sasa mke kamkimbia kabeba hela zote benki na alipo hajulikani. Ila hivi majuzi zimekuja ripoti kuwa alipata ajali ya pikipiki na yupo hospital Bugando mahututi.
Sasa Mr Rogers anataka mke wake akipata nafuu kama lakini, arudi nyumbani waendelee kuishi. Is this fair at all, wanawake acheni tamaa jueni mali zote mtaziacha huku duniani!