Simanzi imetanda mke amkimbia mume wake wa miaka 10!

Si-huwaga mna tushauri kuwa tuoe Ili tupate wenza wa kutu tunza maishani na Wa wakutuuguza hata pale tunapo patwa na maradhi , so imekuaje tena [emoji16][emoji16][emoji16][emoji22][emoji22]
 
Wanawake nuksii Baba yangu mkubwa kakimbiwa na mkewe na wanawatoto wakubwa tu ila mwanamke kasepa
[emoji16][emoji16][emoji16] tukiwa ambia msioe hamuelewi
 
NDOA!! NDOA!! NDOA!!

Haya Shauri yenu
 
Tamaa mbaysa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…