Simba 1-0 Azam FC | Simba yatwaa ubingwa kombe la Mapinduzi

Aaaah aaah huyu Sakho sasa hiI sifa
 
Huyu jamaa akitoka hapa awndw migration akachukue pasaport yake, kabila tushamtafutia tayari
 
Simba inapata kona hapa daika ya 46
 
kocha inabidi atafute namna Azam pale nyuma wamekuwa wagumu leo hawaruhusi Simba kukaa muda mrefu kwenye fainal third yao kabisa wana haribu mipango mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…