NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Yap,lakini inaleta radha ya fainali.Mechi ngumu
Hana maamuzi sahihi kwenye mashambulizi.Bwalya atoke mapema
Halafu wale jamaa watakuwa nafasi ya ngapi?Azam huu mpira wakicheza kwenye ligi ya NBC basi mpaka mwisho wa ligi watakua nafasi ya pili wakitanguliwa na Simba nafasi ya kwanza alafu Polisi Tanzania nafasi ya tatu.
Kolaaaaaa
Watajijua.Halafu wale jamaa watakuwa nafasi ya ngapi?
nimeogopaMamamamammama
ndo ladha yenyeweYap,lakini inaleta radha ya fainali.