Simba 1-0 Azam FC | Simba yatwaa ubingwa kombe la Mapinduzi

Simba 1-0 Azam FC | Simba yatwaa ubingwa kombe la Mapinduzi

Yaani simba, Kibu haeleweki namba anayocheza, Kagere haijulikani, Kanoute na Bwalya hawajulikani wanacheza namba gani
 
Yule mnaigeria Udoh kuna mtu anaenda kumpokonya namba kati ya Bwalya au Kanoute a.k.a domo zege.
 
au Kibu anatoa tak* nn maana si kwa kuaminiwa huku au pengine kocha kuna vitu anaona ambavyo mashabiki hatuvion[emoji848][emoji848]
 
Bwalya OUT, Mzamiru IN, Kibu OUT, Morisson IN. Kocha akifanya hivyo timu itaongeza kasi ya mashambulizi lakini kwa kumtegemea Bob Marley (Kibu) au Bwalya wafanye maajabu hapo kazi ni ngumu kweli kweli.
 
game inabidi kipindi cha pili iishe kwenye matuta inaonekana walambalamba wapo vizur kipande hicho
 
Bwalya OUT, Mzamiru IN, Kibu OUT, Morisson IN. Kocha akifanya hivyo timu itaongeza kasi ya mashambulizi lakini kwa kumtegemea Bob Marley (Kibu) au Bwalya wafanye maajabu hapo kazi ni ngumu kweli kweli.

Naunga mkono hoja
 
  • Thanks
Reactions: K11
Azam wa moto Sana leo lazima tushinde mpaka sasa azam kacheza vizuri zaidi..

Huyu sakho anaruka ruka kama maharage ya mbeya
 
kwa hiyo Kiba amekuja kuchukua pesa ya kitonga [emoji848][emoji848]
 
kocha inabidi atafute namna Azam pale nyuma wamekuwa wagumu leo hawaruhusi Simba kukaa muda mrefu kwenye fainal third yao kabisa wana haribu mipango mapema
Bora wewe umeliona ilo watu wanalaumu utafikiri tunacheza na yanga princess.Azam kaziba mianya hasa pembeni
 
Back
Top Bottom