Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
PoleSawaaa lkin Mimi nitabishia kuhusu hile penalty mpka nakufaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleSawaaa lkin Mimi nitabishia kuhusu hile penalty mpka nakufaa
Ahsanteni SanaaPole
Ukifa sisi tunafinya ubwabwa halafu wewe tunakulisha tani saba za udongo.Sawaaa lkin Mimi nitabishia kuhusu hile penalty mpka nakufaa
Tatizo wakifika Ligi wanakuwa na morali ya chini sana, hivi wapige pira kama hili Ligi kuu am sure watamaliza wa pili.hongereni Azam kwa game nzuri tukutane NBC kwa game kama hili la leo
NGUVU MOJAAAAA [emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Ni Simba Sport ClubTimu bora kwenye ubora wake
chomoa mwiko huo [emoji23][emoji23]Ubingwa wa michongo Rose mhuando
wenzako wote wameshalala wewe unataka uone hadi kombe hongera una moyoUbingwa wa michongo Rose mhuando
Mbna unatanua pua sasaaa ndg anguchomoa mwiko huo [emoji23][emoji23]
Nasubiri Arsenal vs Liverpool hapa.Turudi Afcon sasa