Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

Itakuwa afadhali mana bila hivyo tutadhalilika Mkuu na mwisho wa siku ile gap ya points kumi yaweza kuwa mara mbili. Teh teh.
dada zamani ulikuwa moderate fan, ila siku hizi umejiunga na mashabiki wanaoteseka 😁😁😁
 
Huyu manula huyu anataka afanye nini na dakika zenyewe ndo hizi za lala salama?
 
Huu uzi yamejaa mautopolo yanajidai simba.
Tuacheni na timu yetu na penalt zetu, pyumbavu zenu.
 
Umekuja eeh nilijua tu ulikuwa ushajiandaa kucheka naona macho kodoo😂😂

Umesahau mlicho wafanya Namungo eeh !!!

Kila mtu ashinde mechi zake!!!

Hujambo lakini!?
Hahahaaaa. Yaani acha kabisa.

Nyie mmezidi aisee. Yah. Kila mtu ashinde mechi zake.

Alhamdulillah sijambo kabisa best. Naona bado tia maji tia maji. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom