Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwa simba hii, mtakula kiporo cha nani kwa mfano! Kama timu inayoshika mkiani kama Prisons inawatoa jasho! Mkikutana na Barcelona ya Bongo (Ruvu Shootings) si ndiyo itawavuruga kabisa!!Nani amekuambia hakuna viporo? Ligi ya makundi Shirikisho Afrika inaanza siku kumi zijazo
Tumeipenda wenyewe, Simba yetuIla ni aibu sana yaani tumegeuka 5imba ngufu mbili (refa) hadi tatu (red card) ile moja imetushinda. 🤣🤣🤣
Ndio maana mliitwa Bumbumbu unachangiaje uwanja wakati una B.20 kwenye akaunti si ujinga huo
Yani Barbra aachie ngazi halafu kocha mbovu abaki?!Hii game ingependeza kama tungefungwa. Simba hii mbovu bila sababu za msingi. Barbra aone aibu aachie ngazi.
Huyu Mugalu naye aisee 🤣🤣 Bora nicheke tu
Anaumiaje mtu aliyebeba ndoo miaka minne mfululizo? Nilidhani anaumia anayeitafuta ndoo 🤣🤣🤣🤣 kwa kuwa maumivu yapo kwenu ni lazima ulione hilo. 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 kuwa mkweli bana.Anaumiaje mtu aliyebeba ndoo miaka minne mfululizo? Nilidhani anaumia anayeitafuta ndoo 🤣
Pumbavu,avatar yako tu inakutambulisha utopwinyoHii game ingependeza kama tungefungwa. Simba hii mbovu bila sababu za msingi. Barbra aone aibu aachie ngazi.
Wote chifu. Azam wanafunga Prison hili 4-0 Halafu sisi tunashinda kwa mbeleko sio poa.Yani Barbra aachie ngazi halafu kocha mbovu abaki?!
Zingeongezwa zaidi timu yako ya Prisons ingefungwa goli la piliKumbe dakika zinaongezwaga kwaajili ya timu kubwa zipate matokeo. Yaani mpira kusimama kote zimeongezwa dakika 3 tu, ingekuwa Simba kafungwa au sare zingeongezwa dakika 8
Umeona mkuu, tukiongea huu ukweli tunaitwa utopolo, ila ukweli huu mashabiki maandazi hawawezi kuupokea. Ushindi gani huu?Hii game ingependeza kama tungefungwa. Simba hii mbovu bila sababu za msingi. Barbra aone aibu aachie ngazi.
Hata na sisi miaka ya nyuma tuliimbaga sana aka kawimbo huku mioyoni tunaumia. 🤣Tumeipenda wenyewe, Simba yetu
Pole sana naona refa kakupoka kicheko chako Leo😂Hahahaaaa. Yaani acha kabisa.
Nyie mmezidi aisee. Yah. Kila mtu ashinde mechi zake.
Alhamdulillah sijambo kabisa best. Naona bado tia maji tia maji. 🤣🤣
Barbra amealikwa kwenye fainali ya CAF huko CameroonHii game ingependeza kama tungefungwa. Simba hii mbovu bila sababu za msingi. Barbra aone aibu aachie ngazi.
😄😄😄Pumbavu,avatar yako tu inakutambulisha utopwinyo
Tukutane wapi tukafurahie ushindi jamani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]