Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Halafu kocha anahojiwa anasema tulikuwa tufunge goli mbili au tatu.Aibu naona mimi dah kwamba waandishi ni wamaana sana pale tu tunaposhinda.
Hahahahaaa. Najiuliza ziko wapi sasa. 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu kocha anahojiwa anasema tulikuwa tufunge goli mbili au tatu.Aibu naona mimi dah kwamba waandishi ni wamaana sana pale tu tunaposhinda.
Wacha ionekane hivyo hivyo nani ana jali?Mimi sijafurahia kwa kweli, itaonekana hatushindi mpaka penalt
tutaona vituko tulia hivyo hivyoNdio kacheze wewe na utopolo yako kama una uwezo huo tuone
Ni Alana na sio Alama kwasababu ya michongo 😂😂Eti alana.
Uje jumamosi uone vile nakulipia kisasi. 😂Sawaaaa hakuna tatizo.
Umejifungia ukajitahidi kusaga kunguni wee lakini wapi!!😂😂
Tutaelewana tu nawasubiri mbeya kwanza nao kama kawaida refa ana goli letu la ushindi.
Wewe umetumia camera ipi?Wacha ionekane hivyo hivyo nani ana jali?
Halafu hawa azam ndio wanaleta fitna kwa camera zao kuwa chini ya kiwango mpaka kufikia inatokea mtafaruku kama huu
Yani ukiangalia katika angle moja huwezi ukaona ile foul mpaka utumie ile camera iliyokua nyuma ya goli
Vituko vyetu ni kukubeba ukatie aibu nchi kimataifa huko tu huna lolotetutaona vituko tulia hivyo hivyo
Mbona kila mtu anaongea lake wana Simba wengine wamehisi ni penati iliyotokana na kushika mpiraWacha ionekane hivyo hivyo nani ana jali?
Halafu hawa azam ndio wanaleta fitna kwa camera zao kuwa chini ya kiwango mpaka kufikia inatokea mtafaruku kama huu
Yani ukiangalia katika angle moja huwezi ukaona ile foul mpaka utumie ile camera iliyokua nyuma ya goli
😂😂😂🤣Uje jumamosi uone vile nakulipia kisasi. 😂
Huu ni utani wa ngumi Shadeeya.
Hahahaaa. Lol.Huu ni utani wa ngumi Shadeeya.
Siku hizi hamtoki online[emoji16]Hahahaaa. Lol.
Ila hujui tu nakuonea sana huruma. [emoji28]
Tuweke hapa mkuunyuma ya goli