Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaanzaje kutoka kwa mfano. 💃Siku hizi hamtoki online[emoji16]
Wote chifu. Azam wanafunga Prison hili 4-0 Halafu sisi tunashinda kwa mbeleko sio poa.
Ila penati ile mi mwenyewe mwanzo nilijua tumebebwa mpaka nika wish bora tukoseMpira unakosa ladha kabisa. Mapenati penati tu, mara goli halali kukataliwa.
Kwani ni lazima simba na yanga zishinde ndo ligi ivutie? Bora kufuatilia tu mwisho wa msimu nani bingwa then basi kuliko hivi. Yanga na Simba zinabebwa sana ni UPUMBAVU.
NipoTunaanzaje kutoka kwa mfano. [emoji126]
Upo?
Mpira unge guswa umengebadili directionnyuma ya goli
kwani utopolo mlikuwa mnacheza leo?Kwa forward zako zipi hizo? Mpaka mtengewe mpira na refa kwenye kumi na nane ndio mpate goli
Umenikumbusha mbali sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mama nibebe.