dada zamani ulikuwa moderate fan, ila siku hizi umejiunga na mashabiki wanaoteseka πππItakuwa afadhali mana bila hivyo tutadhalilika Mkuu na mwisho wa siku ile gap ya points kumi yaweza kuwa mara mbili. Teh teh.
Uto bana mna kumbukumbu zenu nusu nusu..Kuna msimu alishawahi kufungiwa huyu kwa maamuzi yake tata! Tena ilikuwa ni mechi ya simba dhidi ya timu gani sijui ile! Ambako simba ilinufaika kupitia hayo maamuzi yake.
Mbeleko, Prison ni mwana mkiwaMakosa ya kibinadamu
Hahahaaaa. Yaani acha kabisa.Umekuja eeh nilijua tu ulikuwa ushajiandaa kucheka naona macho kodooππ
Umesahau mlicho wafanya Namungo eeh !!!
Kila mtu ashinde mechi zake!!!
Hujambo lakini!?
Umetumia vigezo gani? Acha kujifarijiYanga pamoja na kuongoza kwa tofauti ya point 10 lakini bado hawajiamini.
Zile goli 6 za Dar City ulilia, leo tena unalia, we kubali tu utopolo wacha utoto wako...Tumeshinda sisi ila moyoni hatuna furaha, na bado tunalaumu GSM na bodi ya ligi wanatuhujumu. Haya mambo ya ushabiki wa mpira Sametime ni uwendawazimu
π€£π€£π€£ kwa kuwa maumivu yapo kwenu ni lazima ulione hilo. π€£π€£π€£dada zamani ulikuwa moderate fan, ila siku hizi umejiunga na mashabiki wanaoteseka πππ