Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

😁😁😁 Bocco tena!! Si ndiyo huyu huyu mlitaka asicheze kabisa pamoja na mwenzake Mugalu! Na badala yake MK14 apewe nafasi ya kucheza!

Dah!! Msimu huu kuwa kocha wa simba ni sawa tu na mateso juu ya mateso! Maana mashabiki hata hamueleweki!!
bocco ni mzuri mipira ya juu. prison mabeki wafupi
 
Mipira ya kati bado wanaipa dhamana tu
 
Kuna tatizo kubwa hapo benchi la ufundi, yaani upangaji wa kikosi ni tatizo kubwa, yaani pamoja na kuwa sina taaluma ya ukocha lakini naweza kuona mapungufu makubwa kuliko hao makocha
😬😬😬 Dah! Unaweza kutuwekea hata kikosi chako cha mfano? Mbona kikosi kilicho anza hakina shida yoyote ile!

Unadhani mchezaji gani muhimu ameachwa nje, ili tuwasiliane faster na mwalimu Matola amuingize haraka iwezekanavyo! Maana liwake jua, inyeshe! Ushindi leo ni lazima.
 
Ujinga zaidi ni pale kocha anapofanya sub dakika za 70

Yaani anaamini kwa uzembe huu unaweza kurekebishika kwa kumshauri mchezaji huyo huyo aliyecheza hovyo abadilike, wakati benchi wapo mbadala wake wataoweza kufanya vizuri zaidi

Sometimes naona hata ni bora kuwapa nafasi wale madogo wa timu B wanaweza kujituma kwa nguvu zote ili mradi waonekane na wapewe dhamana ya kuchezea kikosi cha kwanza kwa siku zote

Usikute kikosi hiki kikicheza na kikosi B kinafungwa, who knows?
Tatizo la mpira wa Simba sioni kama ni wachezaji. Ukiona timu haipo coordinated shida ni kocha na mfumo wake.
 
Kuna tatizo kubwa hapo benchi la ufundi, yaani upangaji wa kikosi ni tatizo kubwa, yaani pamoja na kuwa sina taaluma ya ukocha lakini naweza kuona mapungufu makubwa kuliko hao makocha
Tatizo la Simba sio kupanga kikosi,bali ni Wachezaji washachoka na kuchuja.
 
Sakho kaangushwa na refa kapeta
 
Back
Top Bottom