Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Labda goal la puchiNajua Simba wakipata goli ndio utaufunga huu mdomo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda goal la puchiNajua Simba wakipata goli ndio utaufunga huu mdomo.
bocco ni mzuri mipira ya juu. prison mabeki wafupi😁😁😁 Bocco tena!! Si ndiyo huyu huyu mlitaka asicheze kabisa pamoja na mwenzake Mugalu! Na badala yake MK14 apewe nafasi ya kucheza!
Dah!! Msimu huu kuwa kocha wa simba ni sawa tu na mateso juu ya mateso! Maana mashabiki hata hamueleweki!!
Nakuonea sana hurumaacha iniue[emoji3]
😬😬😬 Dah! Unaweza kutuwekea hata kikosi chako cha mfano? Mbona kikosi kilicho anza hakina shida yoyote ile!Kuna tatizo kubwa hapo benchi la ufundi, yaani upangaji wa kikosi ni tatizo kubwa, yaani pamoja na kuwa sina taaluma ya ukocha lakini naweza kuona mapungufu makubwa kuliko hao makocha
Tatizo la mpira wa Simba sioni kama ni wachezaji. Ukiona timu haipo coordinated shida ni kocha na mfumo wake.Ujinga zaidi ni pale kocha anapofanya sub dakika za 70
Yaani anaamini kwa uzembe huu unaweza kurekebishika kwa kumshauri mchezaji huyo huyo aliyecheza hovyo abadilike, wakati benchi wapo mbadala wake wataoweza kufanya vizuri zaidi
Sometimes naona hata ni bora kuwapa nafasi wale madogo wa timu B wanaweza kujituma kwa nguvu zote ili mradi waonekane na wapewe dhamana ya kuchezea kikosi cha kwanza kwa siku zote
Usikute kikosi hiki kikicheza na kikosi B kinafungwa, who knows?
Tatizo la Simba sio kupanga kikosi,bali ni Wachezaji washachoka na kuchuja.Kuna tatizo kubwa hapo benchi la ufundi, yaani upangaji wa kikosi ni tatizo kubwa, yaani pamoja na kuwa sina taaluma ya ukocha lakini naweza kuona mapungufu makubwa kuliko hao makocha
Jibu swali,acha siasa.Watu wasio Jua mpira mna tabu sana hivi kwani mechi ambazo PSG walifungwa Messi hakuwepo?
Simba hii ipate goal kwa Prisons?Huo mdomo hawezi kuufunga mpaka Simba wapate goli, muache aropoke tu.
Ikishindikana tusubiri kipindi cha tatuNgoja tusubiri kipnd cha pili....
Hata wamlete Ronaldo hapo kwa staili wanacheza hawezi kupata goli.hapa bila bocco kuingizwa, hatupati goli, kagere anaruka ruka tu
Kweli mkuu, watu kama Boco/ Mugalu/Kagere eti ndio tegemeo letu kwenye ufungaji hapo tunataka wafanye vitu kama anavyofanya Mayele si tunawatafutia lawama tu hawa wakongwe wetuTatizo la Simba sio kupanga kikosi,bali ni Wachezaji washachoka na kuchuja.