inaelekea inakuuma sana niyo kutua simba pole sanaHuyo Niyonzima ilikuwa ajiunge nao South Africa. Sasa story imebadilika. Atajiunga nao huko Kigali. Tusubiri episode nyingine. Utakujasikia atajiunga nao wakirudi Dar. Ikifika hapo mjue ndiyo imetoka hiyo!
Amerudi YangaHuyo Niyonzima ilikuwa ajiunge nao South Africa. Sasa story imebadilika. Atajiunga nao huko Kigali. Tusubiri episode nyingine. Utakujasikia atajiunga nao wakirudi Dar. Ikifika hapo mjue ndiyo imetoka hiyo!
Kawaambia hayo Haji Manara?inaelekea inakuuma sana niyo kutua simba pole sana
nasikia huko moro mnapiga michango ya maji ya kunywa yana ukweli haya?
Tukusaidiejebidvest walichezesha kikosi cha watoto under 17....la sivyo Simba wangepigwa kipigo cha mbwa mwizi kama kile cha 7 bila
Wana shindia miwa.njaa kaliiii.inaelekea inakuuma sana niyo kutua simba pole sana
nasikia huko moro mnapiga michango ya maji ya kunywa yana ukweli haya?
Huyu MWINGINE NIMEMSAHAU kasajiliwa lini?Wamecheza
Manula,mwambeleko,nyoni,mbonde,mwanjali,kotei,mo,mzamir,boko,okwi Na mwngn nmemsahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Nionzima bado yupo yanga, hata gazeti linalo ipamba yanga, limeongolea hayo leo, hongereni yanga. maana huyu jamaa kamwe hatawatoka midomo wapenzi wa yanga.Huyo Niyonzima ilikuwa ajiunge nao South Africa. Sasa story imebadilika. Atajiunga nao huko Kigali. Tusubiri episode nyingine. Utakujasikia atajiunga nao wakirudi Dar. Ikifika hapo mjue ndiyo imetoka hiyo!
Wananihusu Mainiwankuhusu nn?
Nitaogopaje MagarasaUnawaogopa sana? Hapa tuna test makombora mitambo kwanza hatujaanza kufyatua
Sent using Jamii Forums mobile app
bidvest walichezesha kikosi cha watoto under 17....la sivyo Simba wangepigwa kipigo cha mbwa mwizi kama kile cha 7 bila
Bidvest ndo mabingwa wa SA. Huu ndo ukweli!bidvest walichezesha kikosi cha watoto under 17....la sivyo Simba wangepigwa kipigo cha mbwa mwizi kama kile cha 7 bila
Is that a THONG???
Toka okwi asababishe zile tano, mtaa wa jangwani weshindwa kumdiliti kwenye kumbukumbu zao.Muulize kocha wa Orlando Pirates akuambie mziki wake....