Simba 5-0 Mtibwa Sugar | VPL | Benjamin Mkapa stadium

Yani leo na mr Wangu usiku utakua muruaaaa. Toka Simba iwe na maajabu haya kwa kweli tunafuraha sana na hamasa zinaongezeka kwenye mechi ile pendwa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]kazi iendeleee
 
Kwani zile siku azijaisha tu semaji la nchi kuomba msamaha au kilo 800 kama kawaida aliwadanganya tena uto semaji lina tamba bana pua alaf sema tunatoa siku 14 aombe msamaha kiko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…