Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Mbumbumbu upoUKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA, KICHWANI ZINAANZA KULEGEA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbumbumbu upoUKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA, KICHWANI ZINAANZA KULEGEA.
Ni kweli kabisa kabisa mkuu we waangalie tu wale jamaa ambao kila siku wapo kwenye mechi wana usonji wale sijui kazi wanafanya saa ngapUKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA, KICHWANI ZINAANZA KULEGEA.
Ukweli mtupu.Siku ya Jana ilikua kombe la mbumbumbu linaendelea na klabu ya mbumbumbu simba ilifanikiwa kuwafunga waarabu Koko vibonde wa biashara unitea ikumbukwe Hawa waarabu Koko walifungwa Gori 3 bila majibu na biashara united hivyo Jana wamekutana na kipigo kutoka Kwa mbumbumbu wenzao hongereni simba Kwa kuzidi kuwa mambumbumbu
Pole sana mtani kwa goli chache tulizo funga ....Hongera mbumbumbu Kwa kucheza kombe la mbumbumbu fc
Kazi unafanya wewe Masikini Matajiri wanaagiza tuNi kweli kabisa kabisa mkuu we waangalie tu wale jamaa ambao kila siku wapo kwenye mechi wana usonji wale sijui kazi wanafanya saa ngap
Ukiona uandishi huu tu, hakuna haja ya kujiuliza kiwango cha elimu...walifungwa Gori 3 bila majibu ...
Kwamba mpaka wale kina pasi milioni na wale wanaopaka breach kichwani na mashavu makubwa ni matajiri wale? Kumbe nchi hii ina matajiri wengi basi hadi kama wale ni matajiriKazi unafanya wewe Masikini Matajiri wanaagiza tu