Simba achaneni na Pablo

Naungana na wewe ila kishingo anataka kuchukua mikoba ya ukocha mkuu chipolo polo
 
Gomezi Alikuwa anauelewano mzuri na wachezaji.

Alikuwa akiheshimika na Uongozi na wachezaji.

Alikuwa na MATOKEO mazuri Uwanjani.
Alikuwa na soka safi.

HAKUWAHI kuruhisu magori zaidi ya mchezo mmoja tu.
Gomez alitembelea upepo timu iliyoachwa na Kishingo

Ndio maana alishindwa kutengeneza timu yake pale Chma na Miq walivyoondoka na alikaa sana na timu kipindi cha maandalizi

Ile timu iliyotolewa na Kaizer robo final kwa Kishingo ule mwaka tungefika final kiulaini tu.
 
Kaka unajua boli sana na una jicho la kiufundi.

Sven ndio mtu aliekuwa nyuma ya uchezaji ule wa Simba ( Biryani football).
Sio kwamba Sven kafuata nyayo za uchebe? Maana yeye ndiye aliyeanza kuipa Simba mafanikio ya kuifikisha robo fainali na mpira wa aina ya biriani

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Ahaahhahahah
 
we acha upuuzi pablo kaletwa na azam
 
Mimi mbona waliponipiga hiyo ban yao ya wiki, ilikuwa nikijaribu tu kufungua inaniletea maelezo ya kupigwa ban! Yaani nilikuwa sina access yoyote ile hata ya kusoma kilichomo humu!!

Au moderator aliyenipiga hiyo ban alikuwa ni shabiki wa simba?
Sababu Ni nn sas ulipigwa ban mban wew huwa Ni mtu POA tu hutukani mtu Wala kujibizana sna na member Ni wee na yanga yako tu

Kwanin ulipigwa ban je ukipigwa ban unapewa sababu za kupigwa,
 
Sababu Ni nn sas ulipigwa ban mban wew huwa Ni mtu POA tu hutukani mtu Wala kujibizana sna na member Ni wee na yanga yako tu

Kwanin ulipigwa ban je ukipigwa ban unapewa sababu za kupigwa,
Ban nyingine huwa ni za mchongo tu. Hivyo unalazimika tu kukubaliana na hao wapigaji. Maana hata nafasi tu ya kujitetea hupewi!

Sasa sijui na jamii forums nayo inaendeshwa kidikteta!!! 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…