Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #41
Mods watafunga sio wewe huna hayo mamlakaAnadai.
Uzi ufungwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods watafunga sio wewe huna hayo mamlakaAnadai.
Uzi ufungwe
GENTAMYCINE njoo ukate mzizi wa fitina hukuWakuu
Kumbe sababu kubwa ya yule mzambia Phiri kutopangwa Mara kwa Mara ni sababu ana mgomo na anawadai chake Simba.
Kwa kuwa klabu hiyo imezoea kuendeshwa kihuni basi kila anayedai chake anapigwa benchi na kuitwa mchochezi.!
Ilianza kwa Beno leo yuko Wapi? Kashasepa zake. Sasa Phiri kudai hela zake imekuwa nongwa? Ndo kuwekwa benchi mpaka na papaa bocco?
Na huyu kipa Abel inabidi ajiangalie sana maana nimesikia kaletwa kwa mkataba kauli tu. Yaani kaahidiwa milioni 40 na hajapewa hata senti! Huu uonevu na utapeli hii klabu imeshindikana kwa kweli..
Yale ya kina Okwa kumbe ni ukweli kabisa .. Sio ajabu msimu huu wakashika nafasi ya 9.
Yetu macho.
Kwani matusi ni nini,tuanzie hapo. Wakati mwingine mtu ukipewa wasifu wako unadai umetukanwa.Safi sana mwanzo haukuwa hivi anyway nimekutukana?
Hahahahah
Ahahahahaha!!!Rudi shule mtoto unajua Wapi vitu vizito wewe?
unajua kama phiri aliumia?au upo kama benderaKabla ya hapo alipokuwa anapangwa nani alikuwa anakaa benchi?
yanga ni kikundi cha uganga wa kienyejiSimba ni kikundi cha wahuni
Nani kakuambia?Acha upukunusi.Wakuu
Kumbe sababu kubwa ya yule mzambia Phiri kutopangwa Mara kwa Mara ni sababu ana mgomo na anawadai chake Simba.
Kwa kuwa klabu hiyo imezoea kuendeshwa kihuni basi kila anayedai chake anapigwa benchi na kuitwa mchochezi.!
Ilianza kwa Beno leo yuko Wapi? Kashasepa zake. Sasa Phiri kudai hela zake imekuwa nongwa? Ndo kuwekwa benchi mpaka na papaa bocco?
Na huyu kipa Abel inabidi ajiangalie sana maana nimesikia kaletwa kwa mkataba kauli tu. Yaani kaahidiwa milioni 40 na hajapewa hata senti! Huu uonevu na utapeli hii klabu imeshindikana kwa kweli..
Yale ya kina Okwa kumbe ni ukweli kabisa .. Sio ajabu msimu huu wakashika nafasi ya 9.
Yetu macho.
Utajua tu ni wa wapi, na amewashika penyewe kama kocha Luc EymaelDjuma ni mchezaji wa Wapi huyo? Yanga kuna mabeki wa kulia hawa. Yao Kibwana
Huyo djuma shaban wa Wapi?
Wanapenda sana DRAMA 🙂Ila utopolo bhn[emoji23][emoji23]