Simba acheni uhuni mlipeni Phiri pesa yake

GENTAMYCINE njoo ukate mzizi wa fitina huku
 
Kwa usalama wa phiri aombe kuondoka akatafute changamoto nyingine.
 
Nani kakuambia?Acha upukunusi.
 
Djuma ni mchezaji wa Wapi huyo? Yanga kuna mabeki wa kulia hawa. Yao Kibwana
Huyo djuma shaban wa Wapi?
Utajua tu ni wa wapi, na amewashika penyewe kama kocha Luc Eymael
 
Mimi ninachoona phiri sio tegemeo pale Simba angekua tegemeo km anadai angelipwa.
Mbona chama akitishia kusepa timu nzima had viongoz wanahaha na kumuongeza chochote kitu?
Umuhimu wako kwenye timu ndio jeur Yako ya kuwa sehemu salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…