marco polo jr
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 362
- 1,771
Narudia tena Simba acheni uzungu walioziunda kamati za ufundi hawakuwa wajinga . Waliokataa uzungu hawakuwa wajinga kujifanya hamtaki kamati za ufundi kwa Tanzania munajisumbua 90% mpira wa Tanzania unaamuliwa nje ya uwanja pia kuna pengo kubwa sana la mzee hanspope yule alikuwa mafia ebu tafuteni mafia na muache uzungu.