Simba acheni wivu kuona Yanga inapongezwa kila kona na kualikwa Ikulu

Simba acheni wivu kuona Yanga inapongezwa kila kona na kualikwa Ikulu

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,433
Reaction score
2,791
Wana Simba a.k.a Lunyasi kila kitabu na zama zake. Huu ni mwaka wa Yanga, wamefanya vizuri mno. Sisi ni Watanzania, kiu yetu nikuona timu zetu zinafanikiwa kwenye uso wa ndani na kimataifa.

Nimeshangaa kuona nyuzi za chuki wazi wazi zikitoka humu. Jamani kwanini roho mbaya hivyo? Simba imewahi kufanya vizuri miaka ya nyuma, wenye akili sawasawa waliipongeza na wengine walisema Yanga na timu zingine ziige kwa Simba.

Sasa wameiga na kuongeza vya ziada matunda yake ndiyo haya. Kwanini gubu? Kwanini wivu Tena? Nasema uongo Ndugu zangu?

Wananchi, Yanga mmetisha sana mwaka huu. Mimi naangalia nchi zaidi kuliko timu moja.

Hongera, hongera, hongera tena wananchi, mliupiga mwingi Algeria.
 
Wivu gani sasa? Sisi tuonee wivu vyura?
 
Kwani wakati Simba inafanya vizuri washabiki wote wa Yanga walifurahi? Ama sasa washabiki wote wa Simba wana nongwa?
 
Wana Simba a.k.a Lunyasi kila kitabu na zama zake. Huu ni mwaka wa Yanga, wamefanya vizuri mno. Sisi ni Watanzania, kiu yetu nikuona timu zetu zinafanikiwa kwenye uso wa ndani na kimataifa...
Ni kweli kabisa na asiye kubali kushindwa siyo mshindani ila wataelewa tu!
 
Nani aone wivu kama medali hata panya Magawa anazo kipi sasa cha kuona wivu?

kama kualikwa Ikulu hata wehu uwa wanaalikwa.
 
Kuwaonea wivu utopolo kwa kufanya mbwembwe zisizo na mashiko ni kujipotezea muda.
 
Nafananisha I'd mpya na ukosefu wa akili. Watoto wengi wamejiunga, jf pole
 
Ni vile wewe umejaribu kuingia kwenye mind za watu. Mbona me sijaona mahali kama kuna wivu
 
Kuwaonea wivu utopolo kwa kufanya mbwembwe zisizo na mashiko ni kujipotezea muda.
Hapana. Wapongeze penye unaona panafaa. Hata kwenye maisha ya kawaida jirani akifanikiwa jifunze kutoka kwake na si wivu. Hebu angalia yanga wamechukua ubingwa Tanzania, ngao, wapo final FA,wamecheza final CAFCC,wametoa mfungaji Bora Tanzania,wametoa mfungaji Bora CAFCC, wametoa man of the match CAFCC,wametoa golikipa Bora CAFCC. Bado huoni kama Simba tunapaswa kujifunza lakin kumpongeza mwenzetu.?
 
Sidhani kama kuna chuki yoyote hapa isipokuwa watu hata ambao siyo wapenzi wa mpira wanaona matumizi mabaya ya pesa za wavuja jasho. Kuna haja gani ya kutoa ndege ya serikali kuisafirisha team Mbeya kucheza just local game, Algeria you can understand kuna Utaifa mle sasa Mbeya dah!
 
TIMU KUBWA imecheza na Giant WAKUBWA.

Alahaly.
KAIZER CHEEF.
Orando pirates.
Widad
Raja Casablanca.


Tuwaonee wivu WANACHEZA na timu zinazoshuka Daraja.
Zalan.
Marumo nk..


Sh3nzi kabisa.
 
Hizi comments ndo ulichokiongelea mleta Uzi..
Ngao.....✅
Ligi..........✅
Mfungaji bora Ligi..✅
Final CAFCC...........✅
Mshindi wa pili CAFCC..✅
Man of the match CAFCC..✅
Mfungaji Bora CAFCC....✅
GK Bora CAFCC...✅.

NAWAELEWA MASHABIKI WA SIMBA. HAMUWEZI KUWA SAWA...MJIFUNZE KUWA POSITIVE MTAKUFA SIKU SI ZENU...WEKENI REKODI TUWAPONGEZE TULIO TIMAMU..
 
Huyu mchambuzi nae aonekana viunga vya ikulu!
Wachezaji (Mabeki) Wafupi wa Yanga leo wameifanya Yanga ialikwe IKULU, watu wale wale waliokuwa wanawaponda, ndio wa kwanza kuwahi siti za mbele. Na kudandia Sahani za wali hata kabla watu hao wafupi hawajala

Just jokes, picha haina uhusiano na maelezo hayo

Fundi Mkuu Renny
FB_IMG_1685992676050.jpg
 
Kwani Simba wamefanyaje tena mbona wako bize leo Ntibazonkiza aondoke na mpira wake wala hawana habari na uto kabisa,ulimbukeni tu unawasumbua.
 
Back
Top Bottom