technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Simba hana uwezo wa kumfunga yanga
Akishinda hii game Mimi nakuwa mwanachama wa ccm
Yanga anaenda kushinda hii game na vyombo vya habari Tanzania vinawapoteza watu kama walivyofanya kwa Man city na Chelsea ile fainali ya UEFA.
Simba anakufa na atakufa tena kigoma gemu ya FA.
Akishinda hii game Mimi nakuwa mwanachama wa ccm
Yanga anaenda kushinda hii game na vyombo vya habari Tanzania vinawapoteza watu kama walivyofanya kwa Man city na Chelsea ile fainali ya UEFA.
Simba anakufa na atakufa tena kigoma gemu ya FA.