Cc. ModesMimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.
Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.
Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.
NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.
View attachment 2786239
Mechi ya mwisho kwa Mkapa Simba 1 vs 0 Al ahly, Ahly alikua anaomba mechi iishe.Najua unatype huku unatetemeka [emoji23]
Fanya uoe la sivyo utakua mwehuI'm single...
Simba haijawahi kuwa na jeuri mbele ya waarabu......labda yangaMechi ya mwisho kwa Mkapa Simba 1 vs 0 Al ahly, Ahly alikua anaomba mechi iishe.
Ahly walikua wakisema Eloi,,Eloi Lama Sabaktani,,mungu wangu mungu wangu mbona umenitema.
Simba tunamalizia tulipoishia.
Woooyoooooooooooo.
Najua hata ww unaelewa kuwa kolo hawezi toboaMiongozo ya maudhui ya JF imeeleza ban inavyotokea.
Kwa ombi lako hilo hutopigwa ban labda uvunje sheria zilizoanisishwa kwahiyo ikitokea mnyama kashinda tutakuwepo hapa kukukaanga vizuri tu labda uchukue sabbatical leave.
Kumbuka yule ni Al ahly......na sio horoya
🥱😆🤣Mtu wa kumla tako huyu jamaa tumkabidhi akanyambasira Na mzabzab
Kwahiyo waandikaji ndio watacheza? [emoji23]Muandiko huonyesha umbumbumbu wa mwandikaji.. !! Sasa nyie ni mbumbumbu FC..!!
Kuna ban za kuomba na mwombaji hukubaliwa ombi lakeMiongozo ya maudhui ya JF imeeleza ban inavyotokea.
Kwa ombi lako hilo hutopigwa ban labda uvunje sheria zilizoanisishwa kwahiyo ikitokea mnyama kashinda tutakuwepo hapa kukukaanga vizuri tu labda uchukue sabbatical leave.
Akishinda utaendelea kuwepo hapa hapa.Najua hata ww unaelewa kuwa kolo hawezi toboa