Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Awamu ile watu walipigwa ban mechi nadhan ya simba na yanga ila ban zilikaa masaa machachee tu
 
Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.

Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.

Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.

NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.

View attachment 2786239
Cc. Modes

Najua una account ingine utarud hapa kucomment...
 
Najua unatype huku unatetemeka [emoji23]
Mechi ya mwisho kwa Mkapa Simba 1 vs 0 Al ahly, Ahly alikua anaomba mechi iishe.

Ahly walikua wakisema Eloi,,Eloi Lama Sabaktani,,mungu wangu mungu wangu mbona umenitema.

Simba tunamalizia tulipoishia.
Woooyoooooooooooo.
 
Simba endelea kuwakalia uto huko kileleni..yani mpk watapike maji yote ya bwawani wanayomeza kwa kutokufunga midomo... 🐸 🙂 🐸 🐸 🐸
 
Miongozo ya maudhui ya JF imeeleza ban inavyotokea.

Kwa ombi lako hilo hutopigwa ban labda uvunje sheria zilizoanisishwa kwahiyo ikitokea mnyama kashinda tutakuwepo hapa kukukaanga vizuri tu labda uchukue sabbatical leave.
 
Mechi ya mwisho kwa Mkapa Simba 1 vs 0 Al ahly, Ahly alikua anaomba mechi iishe.

Ahly walikua wakisema Eloi,,Eloi Lama Sabaktani,,mungu wangu mungu wangu mbona umenitema.

Simba tunamalizia tulipoishia.
Woooyoooooooooooo.
Simba haijawahi kuwa na jeuri mbele ya waarabu......labda yanga
 
Miongozo ya maudhui ya JF imeeleza ban inavyotokea.

Kwa ombi lako hilo hutopigwa ban labda uvunje sheria zilizoanisishwa kwahiyo ikitokea mnyama kashinda tutakuwepo hapa kukukaanga vizuri tu labda uchukue sabbatical leave.
Najua hata ww unaelewa kuwa kolo hawezi toboa
 
Simba endelea kuwakalia uto huko kileleni..yani mpk watapike maji yote ya bwawani wanayomeza kwa kutokufunga midomo... [emoji196] 🙂 [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Teh teh .japo mi sina timu..ila .ubingwa wa yanga
 
Namaanisha wenye hizo tabia za kichawi.
JamiiForums-332531034.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom