Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hilo limeisha sheikhHakuna ban..... lazima wakandwe
Mimi ni YANGA, leo namuombea mtani kila la kheri [emoji1474][emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]Jaribuni kuwa wazalendo. Chuki na ubishani usio na tija wekeni pembeni!
Kuna wajinga leo watashabikia maadaui hao wa kuja [emoji17]
Mimi ni YANGA, leo namuombea mtani kila la kheri [emoji1474]
Bado sioni uhusiano wake na magoliUsisahau, safari iliyopita uwanja ulionekana umejaa lakini kuna watu wenye tiketi hawakuingia kwa kukosa nafasi..!!
.Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.
Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.
Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.
NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.
View attachment 2786239
Hawaamin macho yaoDk 90
Duhhh. Sawa.SIMBA AKIPATA GOLI JamiiForums NAOMBA MNIPIGE BAN MPAKA MWAKA HUU UISHE.
NA HATA KAMA HAMTONIPIGA BAN BASI SITOTUMIA ACCOUNT HII HADI MWAKA HUU UISHE.
.Na bado hawajasema
Simba 2 vs Al Alhly 1.Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.
Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.
Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.
NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.
View attachment 2786239
Simba 2 vs Al Ahly 1.Duhhh. Sawa.
Jiandae na banSimba akishinda nipigwe ban mpaka tarehe 1/1/2024
Maxence Melo na uongozi wako zingatia hili tafadhali bila kusita.
Kila la heri mtani ila huchomoki na ushindi nyumbani.
Shindwaaa ππJiandae na ban
Yaani nipo nacheki game kwa ajili yako, nipate kuwashtua mods mapema incase wakijisahauShindwaaa ππ