Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Jaribuni kuwa wazalendo. Chuki na ubishani usio na tija wekeni pembeni!

Kuna wajinga leo watashabikia maadaui hao wa kuja [emoji17]

Mimi ni YANGA, leo namuombea mtani kila la kheri [emoji1474]
Mimi ni YANGA, leo namuombea mtani kila la kheri [emoji1474][emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.

Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.

Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.

NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.

View attachment 2786239
.
JamiiForums2071048328.jpg
 
Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.

Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.

Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.

NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.

View attachment 2786239
Simba 2 vs Al Alhly 1.
Lifetime ban inakuhusu
 
Back
Top Bottom