Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.

Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.

Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.

NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.

View attachment 2786239
Ungesema tukupige mtungo hapo sawa kwani ban si unaweza ukatumia account nyingine tu acha utoto huku sio Facebook
 
Achana na hizo ndoto mkuu
Kwakweli watani kesho wanamechi ngumu sana ila tunawaombea ushindi wakufungwa goli chache.

Kiuzalendo tuwaombee washinde sema tatizo unakutana na Ahly Knockout stage hakuna option nyingine ila kufungwa tu!
ila naskia SIMBA wanarekodi za kuwafunga na kuwaondoa mabingwa.
 
Mechi ya Singida Fountain vs Simba wewe Labani og ulisema kitu kinachofanana na hiki, nikakwambia Simba lazima ashinde wewe andaa tako tu.

Nasikitika kwamba bado hujatoa tako hadi leo. Au sisi mashabiki wa Simba hatupaswi kukuomba kitu kingine zaidi ya hiyo uliyojiombea ya kupigwa ban?
Ushindi kwa hisani ya Tatu Malogo? Hata huoni aibu
 
Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.

Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.

Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.

NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.

View attachment 2786239
Mimi naomba tukishinda tukusokomeze mwiko wa mbarali mpka akili ikukae sawa
 
Kwakweli watani kesho wanamechi ngumu sana ila tunawaombea ushindi wakufungwa goli chache.

Kiuzalendo tuwaombee washinde sema tatizo unakutana na Ahly Knockout stage hakuna option nyingine ila kufungwa tu!
ila naskia SIMBA wanarekodi za kuwafunga na kuwaondoa mabingwa.
Usisahau wamekuja na mapipa yao
 
Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.

Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.

Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.

NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.

View attachment 2786239
halafu tutachat na nani kama hivi yaani
 
Back
Top Bottom