Simba ana kikosi cha kawaida mno kwa Azam

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]

Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.

Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.

Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.

GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.

 
Mimi azam nawapenda kwenye kubeti tu ukiwaua wanakufa ukiwafata mazima wanatoa
Okay leo nmewaua
Kwa kiungo okwa unaota sjui kipama leo mtalubari simba anakula 3
 
Ni kweli tuna wachezaji wa kawaida nyie mnawachezaji wenye quality..ila tunatimu bora collectively na ndio maana tupo vlub bingwa makundi na nyie mpo chamazi mnalalamika...mlete mgjnda
 
Mtu na dada yake hao,na kama kawaida dada mtu atapewa point3,kama sio huo undugu basi mikia mapema sana wangekufa
 
Tubet kama unajiamini weka ata kipochi
Ww kama unaamini mtashinda just let it be,na mm naamini tutashinda baaasi. Maswala ya vipochi manyoya hayana tija.
 
Hata na Yanga walikuwa na kikosi hicho hicho ila nwisho wa siku nchi ilishuhudia mkubwajinga akishangilia droo
 
Naona Yanga wanajaribu kutafuta cha kuongelea ili Simba wakiwafumua Azam waseme ni ndugu hawa.
 
Azam mwenye sura mbilimbili.Mimi mwenyewe ni member wa Club Africaine tangu wiki jana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ata Jana nilipost uzi wa KMC kumpasua yanga sinaga mahaba na vilabu vyenu vilivyoshindwa ata kumiliki viwanja
 
Naona Yanga wanajaribu kutafuta cha kuongelea ili Simba wakiwafumua Azam waseme ni ndugu hawa.
Azam sisi tunauhakika Simba ata drawa hapati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…