Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo saaanaa sisi hizi mechi za ndani tukifungwa ni kama tumefunga na tukifunga tumefungaSawa msipotee majukwaani
Unasema wewe ni shabiki wa Azam halafu unasema una kikosi chako. Kama kikosi ni chako tuambie umeshatumia gharama kiasi gani kukitengeneza mpaka hapa kilipofika?Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapojuu[emoji3516]
Mimi kama Mwanachama na shabiki Lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji
Hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye Average players ikipata sare na sisi
Ombi refa achezeshe fair mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soccer
Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza
GO AZAM TEAM BORA BIDHAA BORAView attachment 2399069
Mtu na dada yake wanajuana hao,so dogo hawezi kumkazia dada yake.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapojuu[emoji3516]
Mimi kama Mwanachama na shabiki Lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji
Hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye Average players ikipata sare na sisi
Ombi refa achezeshe fair mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soccer
Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza
GO AZAM TEAM BORA BIDHAA BORAView attachment 2399069
Wanapigika tu,kmc na prisons wamejipigia vizuri tu,ni focus na utulivu tuYanga game na Azam amshukuru refa
Kwani nduguyo asipomiliki suti unafuta udugu?Ata Jana nilipost uzi wa KMC kumpasua yanga sinaga mahaba na vilabu vyenu vilivyoshindwa ata kumiliki viwanja
Mandonga mtu kazi. Ila Azam anaifungaje Simba kwa mfano kama Yanga tuu inashangilia drooUshaanz kutafuta kichaka mandonga[emoji16][emoji3516]
Mbona swali lako halieleweki na ni la kipumbavu?Unasema wewe ni shabiki wa Azam halafu unasema una kikosi chako. Kama kikosi ni chako tuambie umeshatumia gharama kiasi gani kukitengeneza mpaka hapa kilipofika?
Ile mechi yao ilikua wafeHao yanga wako kwangu pia walishangalia draw au umesahau
Ana jua ball anaweza mwambia ata mchezaji ivyo unavyofanya mm nmefanya mnoIwapo Azam Fc itacheza mchezo kama ule iliyocheza na Yanga, basi kuna kila dalili simba atafungwa!
Mbaya zaidi kwa sasa timu ipo chini ya kocha wa muda Kalimangonga Ongala! Huyu jamaa siyo mzuri hata kidogo ukimpa kazi ya ukocha mkuu wa muda kwenye timu.
Maana ana hamasa ya kipekee.