Simba anachapwa Taifa na anaenda Kuchapwa tena Morocco

Simba anachapwa Taifa na anaenda Kuchapwa tena Morocco

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Anapigwa Nyumbani kwake Simba na anaenda kupigwa Morocco. Sioni hata Draw kwa Simba. Sioni. Simba kesho Jumamosi atakachoshinda ni Njaa tu.

Mimi naelezea kutokana na Ubovu wa Simba na Ubora wa Raja Maftaaah Casablanca. Sheikh hawa watu nawafahamu... Huwa wanafumua mishono. Wanatatua kila kitu.

NIMEKAA HAPA HAPA. NAWAAMBIA HAPA HAPA. SIMBA HII MBOVU HAIWEZI SHINDA MATCH. ITASHINDA NJAA.
 
Anapigwa Nyumbani kwake Simba na anaenda kupigwa Morocco. Sioni hata Draw kwa Simba. Sioni. Simba kesho Jumamosi atakachoshinda ni Njaa tu.

Mimi naelezea kutokana na Ubovu wa Simba na Ubora wa Raja Maftaaah Casablanca. Sheikh hawa watu nawafahamu... Huwa wanafumua mishono. Wanatatua kila kitu.

NIMEKAA HAPA HAPA. NAWAAMBIA HAPA HAPA. SIMBA HII MBOVU HAIWEZI SHINDA MATCH. ITASHINDA NJAA.
Unaongea kitaalamu au kishabiki au kwa historia ya simba kufungwa mechi nyingi za kimataifa nyumbani toka 2015???
 
Anapigwa Nyumbani kwake Simba na anaenda kupigwa Morocco. Sioni hata Draw kwa Simba. Sioni. Simba kesho Jumamosi atakachoshinda ni Njaa tu.

Mimi naelezea kutokana na Ubovu wa Simba na Ubora wa Raja Maftaaah Casablanca. Sheikh hawa watu nawafahamu... Huwa wanafumua mishono. Wanatatua kila kitu.

NIMEKAA HAPA HAPA. NAWAAMBIA HAPA HAPA. SIMBA HII MBOVU HAIWEZI SHINDA MATCH. ITASHINDA NJAA.
Siuseme uitwe nani? Joyce mbinuko ama utamu burebure?
 
[emoji116]
img_1_1676560501705.jpg
 
Anapigwa Nyumbani kwake Simba na anaenda kupigwa Morocco. Sioni hata Draw kwa Simba. Sioni. Simba kesho Jumamosi atakachoshinda ni Njaa tu.

Mimi naelezea kutokana na Ubovu wa Simba na Ubora wa Raja Maftaaah Casablanca. Sheikh hawa watu nawafahamu... Huwa wanafumua mishono. Wanatatua kila kitu.

NIMEKAA HAPA HAPA. NAWAAMBIA HAPA HAPA. SIMBA HII MBOVU HAIWEZI SHINDA MATCH. ITASHINDA NJAA.
Sawa Simba anapigwa, Kuna haja gani ya kumuacha mumeo chumbani na kwenda sebleni kuanziaha Uzi?
 
Hata mtoto mdogo ana jibu! Mtu aje nyumbani kwako na akuchape, ukienda kwake si atakuchinja?
 
Dakika 90 hiyo kesho, ndizo pekee zenye matokeo sahihi.
 
Anapigwa Nyumbani kwake Simba na anaenda kupigwa Morocco. Sioni hata Draw kwa Simba. Sioni. Simba kesho Jumamosi atakachoshinda ni Njaa tu.

Mimi naelezea kutokana na Ubovu wa Simba na Ubora wa Raja Maftaaah Casablanca. Sheikh hawa watu nawafahamu... Huwa wanafumua mishono. Wanatatua kila kitu.

NIMEKAA HAPA HAPA. NAWAAMBIA HAPA HAPA. SIMBA HII MBOVU HAIWEZI SHINDA MATCH. ITASHINDA NJAA.
sema t simba ikishinda tuku.....au bas tupo live
 
Kumbe ukishiba makande yaliyojaa maharage ndo unaandikaga upupu hivi ...kiufupi umeandika kiushabiki na haujui kuchambua mpira nahisi muda si mrefu utaanz kupunguza hewa tumboni
 
Back
Top Bottom