Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Anapigwa Nyumbani kwake Simba na anaenda kupigwa Morocco. Sioni hata Draw kwa Simba. Sioni. Simba kesho Jumamosi atakachoshinda ni Njaa tu.
Mimi naelezea kutokana na Ubovu wa Simba na Ubora wa Raja Maftaaah Casablanca. Sheikh hawa watu nawafahamu... Huwa wanafumua mishono. Wanatatua kila kitu.
NIMEKAA HAPA HAPA. NAWAAMBIA HAPA HAPA. SIMBA HII MBOVU HAIWEZI SHINDA MATCH. ITASHINDA NJAA.
Mimi naelezea kutokana na Ubovu wa Simba na Ubora wa Raja Maftaaah Casablanca. Sheikh hawa watu nawafahamu... Huwa wanafumua mishono. Wanatatua kila kitu.
NIMEKAA HAPA HAPA. NAWAAMBIA HAPA HAPA. SIMBA HII MBOVU HAIWEZI SHINDA MATCH. ITASHINDA NJAA.