Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona sasa watoto wa fb Hawa😅😅... Bangi mbaya asee...
Haya kachambe ulale sasaAnapigwa Nyumbani kwake Simba na anaenda kupigwa Morocco. Sioni hata Draw kwa Simba. Sioni. Simba kesho Jumamosi atakachoshinda ni Njaa tu.
Mimi naelezea kutokana na Ubovu wa Simba na Ubora wa Raja Maftaaah Casablanca. Sheikh hawa watu nawafahamu... Huwa wanafumua mishono. Wanatatua kila kitu.
NIMEKAA HAPA HAPA. NAWAAMBIA HAPA HAPA. SIMBA HII MBOVU HAIWEZI SHINDA MATCH. ITASHINDA NJAA.
Noma sana!Siuseme uitwe nani? Joyce mbinuko ama utamu burebure?
Wewe si upokee neno la motisha kutoka kwa kylian wa Mkuranga.. shida iko wapiOna sasa watoto wa fb Hawa😅😅... Bangi mbaya asee...
simba mbovu ipo ligi ya mabingwa lakini timu wanayoisema nzuri ipo kombe la loser 😄😄😄😄 haya ni maajabuAnapigwa Nyumbani kwake Simba na anaenda kupigwa Morocco. Sioni hata Draw kwa Simba. Sioni. Simba kesho Jumamosi atakachoshinda ni Njaa tu.
Mimi naelezea kutokana na Ubovu wa Simba na Ubora wa Raja Maftaaah Casablanca. Sheikh hawa watu nawafahamu... Huwa wanafumua mishono. Wanatatua kila kitu.
NIMEKAA HAPA HAPA. NAWAAMBIA HAPA HAPA. SIMBA HII MBOVU HAIWEZI SHINDA MATCH. ITASHINDA NJAA.
Mwarabu tunamchakaza, Simba ndo kiboko ya Waarabu kwa ukanda wa kati,mashariki na kusini mwa Afrika.
Hehehee!Mwarabu tunamchakaza, Simba ndo kiboko ya Waarabu kwa ukanda wa kati,mashariki na kusini mwa Afrika.