Simba hiyo hiyo ikaikanda 2-0 timu iliyoikanda Marumo 2-0.Uchambuzi
Kwa mpira niliouna Jana Kwa marumo gallants kama wangecheza na Simba (Makolo) basi taifa lingepata aibu kubwa mno Kwa sababu zifuatazo
Spidi ya marumo gallants ni kubwa mno Kwa wachezaji wa Simba ukichanganya na umri mkubwa walionao makolo ....Kwan marumo ywanacheza counter plus mipira ya kuvizia ambayo ni hatari Kwa Makolo
Pili ni kuwa Simba hawana uzoefu wa kucheza michuano kwenye ngazi ya nusu fainaliy
NB.Kwa vigezo hivi Simba wangekandwa 7 _0
Mkuu naona unaleta Utani na Mtani [emoji2957]Uchambuzi
Kwa mpira niliouna Jana Kwa marumo gallants kama wangecheza na Simba (Makolo) basi taifa lingepata aibu kubwa mno Kwa sababu zifuatazo
Spidi ya marumo gallants ni kubwa mno Kwa wachezaji wa Simba ukichanganya na umri mkubwa walionao makolo ....Kwan marumo ywanacheza counter plus mipira ya kuvizia ambayo ni hatari Kwa Makolo
Pili ni kuwa Simba hawana uzoefu wa kucheza michuano kwenye ngazi ya nusu fainaliy
NB.Kwa vigezo hivi Simba wangekandwa 7 _0
Haya mchambuziUchambuzi ni sayansi mkuu......
Unafikiri wanajielewa basi[emoji23][emoji23]wakishavimbiwa mihogo huko wanakuja kjambajamba humu bila mpangilioSimba hiyo hiyo ikaikanda 2-0 timu iliyoikanda Marumo 2-0.
Sasa wewe fact yako hapo ni nini????Wanamichezo tunapingana Kwa facts
VIPERS kakukanda hapohapo taifa mkiwa fullMkuu wale ni marumo gallants......sio vipers [emoji23][emoji23]
Ila simba kamkanda 2 chura acha bangiUchambuzi
Kwa mpira niliouna Jana Kwa marumo gallants kama wangecheza na Simba (Makolo) basi taifa lingepata aibu kubwa mno Kwa sababu zifuatazo
Spidi ya marumo gallants ni kubwa mno Kwa wachezaji wa Simba ukichanganya na umri mkubwa walionao makolo ....Kwan marumo ywanacheza counter plus mipira ya kuvizia ambayo ni hatari Kwa Makolo
Pili ni kuwa Simba hawana uzoefu wa kucheza michuano kwenye ngazi ya nusu fainaliy
NB.Kwa vigezo hivi Simba wangekandwa 7 _0