Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Uchambuzi
Kwa mpira niliouna Jana Kwa marumo gallants kama wangecheza na Simba (Makolo) basi taifa lingepata aibu kubwa mno Kwa sababu zifuatazo
Spidi ya marumo gallants ni kubwa mno Kwa wachezaji wa Simba ukichanganya na umri mkubwa walionao makolo ....Kwan marumo ywanacheza counter plus mipira ya kuvizia ambayo ni hatari Kwa Makolo
Pili ni kuwa Simba hawana uzoefu wa kucheza michuano kwenye ngazi ya nusu fainaliy
NB.Kwa vigezo hivi Simba wangekandwa 7 _0
Kwa mpira niliouna Jana Kwa marumo gallants kama wangecheza na Simba (Makolo) basi taifa lingepata aibu kubwa mno Kwa sababu zifuatazo
Spidi ya marumo gallants ni kubwa mno Kwa wachezaji wa Simba ukichanganya na umri mkubwa walionao makolo ....Kwan marumo ywanacheza counter plus mipira ya kuvizia ambayo ni hatari Kwa Makolo
Pili ni kuwa Simba hawana uzoefu wa kucheza michuano kwenye ngazi ya nusu fainaliy
NB.Kwa vigezo hivi Simba wangekandwa 7 _0