Vipers alikufanya nini?Mkuu wale ni marumo gallants......sio vipers [emoji23][emoji23]
Acha mazarau🤣🤣🤣Jiandaen kesho mna game kali sana na wakubwa wenzenu
Huyo nabi alifika fainali ipi kimataifa?Mtafuteni prof Nabi awape tuition....jinsi ya kufika fainali
yani marumo aifunge simba saba asee hi kali🙂Karibu uananchi mzee
Kama 🐸🐸Wanaigeria ni matapeli
😂😂 sawaAngalia marudio mkuu ....then fanya analysis in deep
Vikosi vya malumo na Yanga nivyakucheza kombe la shirikisho lakini siyo klabu bingwa. Na ndiyo Maana Yanga huku klabu bingwa alifuruhushwa mapema tu na kurudi wanakostahiliUbora wa kikosi Cha marumo gallants vs makolo
Simba imecheza fainali pimbi weJifunzeni kutoboa kimataifa
Ni kwa sababu walikuwa wanategemea matokeo ya Fountain Gate. Sasa kitu gani kinashangaza hapo.Yaani simba queens kuchukua ubingwa unaita maajabu?
Hilo kombe ni la simba queen ikitokea hawajachukua ndio maajabuNi kwa sababu walikuwa wanategemea matokeo ya Fountain Gate. Sasa kitu gani kinashangaza hapo.
Lkn Simba walipita Kwa bahati.... Baada ya kukutana na wabovuVikosi vya malumo na Yanga nivyakucheza kombe la shirikisho lakini siyo klabu bingwa. Na ndiyo Maana Yanga huku klabu bingwa alifuruhushwa mapema tu na kurudi wanakostahili