Simba angekandwa vibaya na Al mereikh

Kwa upande wa ndugu zetu wanamsimbazi kama ndo wangekutana na Al mereikh Kwa mchezo waliocheza Jana......basi wangekutana na na kichapo Cha kutisha
Kwani kwa Simba hii na Yanga hii, walipokutana matokeo yalikuwaje? Tuanzie hapo 😁
 
Ifuatayo ni timu zisizo wakimbizi zilizofungwa na Yanga nyumbani kwao
1) Club Africain
2) Rivers united
3) Marumo
4) Tp Mazembe
5) USM Alger
Bila kusahau
...USM Alger kampiga Al ahly
 
Wakimbizi ambao hawana hata ligi?
 
hapana sio kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…