Simba apewa point zake 3 dhidi ya Kagera sugar

Status
Not open for further replies.
Case za facts huwa hazina shida sana. Maamuzi yanapaswa kujulikana kama facts zinajulikana.
 
ujanja upi? swali; je mchezaji wa kagera fc ana kadi hizo au la?? jibu kwa kutumia kichwa cha juu!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yanga mkufwe zenu ....
 
ujanja upi? swali; je mchezaji wa kagera fc ana kadi hizo au la?? jibu kwa kutumia kichwa cha juu!!
Ana kadi tatu na atapoteza point sio za simba tuu subir uone
 
Simba nadhani mnafurahia kama mmepata Klab bingwa Africa final match .... Subirini Libolo FC tena
 
Haya mkemi na genge lako nendeni kotini sasa mumetishia nyau kazinda
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…