Simba atafungwa zaidi ya magoli mawiili mashabiki tujiandae kisaikolojia

Simba atafungwa zaidi ya magoli mawiili mashabiki tujiandae kisaikolojia

Simba mnyama anaingia kambini kwa mechi ya kimataifa niseme tu kwa huzuni hii mechi simba atafungwa magoli mawili nk.

Hakutakuwa na sare...Mpaka sasa naona penalty kwenye hii mechi sijui

Upande ganii ila ft simba atapoteza hii mechi

Wale wa mkeka mpeni mpinzani wake wi na 2 plus

Na mashabiki wanaweza wafanyia fujo wachezaji baada ya mechi napendekeza ulinzi mkali uwepo kwa wachezaji sikuhio na viongozi wake

All d best
Know the difference between premier league and trophy or competition in premier league you need performance to win the title but in competition and trophy you need experience to win the game because it's all about tactics.

Ndio maana mwaka jana kuna team zimeingia na kucheza fainali lakini zimeshuka daraja mfano marumo gallant na US alger licha ya kufika hatua nzuri sana kwenye Caf confederation cup lakini hawakuwa na performance nzuri kwenye league the same to real Madrid in Europe hata wawe nafasi ya 8 kwenye premier league yao ila usiombe kukutana nao UEFA champions league because in competition and trophy its results oriented and in premier league it's performance oriented no matter what kind of football you play stay tuned.
 
Back
Top Bottom