cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Km na wydad atatoa draw au kufungwa.Mechi ikiwa droo Simba wanapita?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km na wydad atatoa draw au kufungwa.Mechi ikiwa droo Simba wanapita?
Mwanga mkubwa wewe.Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana
Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89
Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba
Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha...mmmmh
Anaitwa Fredy Kulwa mkuu yule mwingine anaitwa Papaa Omary wa Njombe..Yatakata wakat STRIKA wao ndio KOBULA😂
Mechi ikiwa droo, na mwenzie mwenye point 6 kama yeye akishinda, 5imba chaliii..!! Kifupi, 5imba anahitaji ushindi tuMechi ikiwa droo Simba wanapita?
Na apigiwe tu kama ngoma.Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana
Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89
Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba
Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili simba na yanga waweze kukutana kabla ya fainali lazima mmoja amalize wakwanza na mwingine amalize wapili, hadi sasa ni yanga pekee ndio anaweza kumaliza wakwanza kama atashinda game ya mwishoNaiombea Simba ishinde Ili tukutane nusu fainal tumfanye daraja la kutupeleka fainal
Uzi wa kisimbeKwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana
Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89
Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba
Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana
Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89
Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba
Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1
Sent using Jamii Forums mobile app
NdotoKwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana
Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89
Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba
Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee mlongooo. Hii ndo Simba na Robo ni yetuuu.Mechi ikiwa droo, na mwenzie mwenye point 6 kama yeye akishinda, 5imba chaliii..!! Kifupi, 5imba anahitaji ushindi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekeshaaaaIli simba na yanga waweze kukutana kabla ya fainali lazima mmoja amalize wakwanza na mwingine amalize wapili, hadi sasa ni yanga pekee ndio anaweza kumaliza wakwanza kama atashinda game ya mwisho