Simba atapigwa goli 1 na Jwaneng Gallaxy na kutolewa mashindanoni

Simba atapigwa goli 1 na Jwaneng Gallaxy na kutolewa mashindanoni

Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana

Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89

Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba

Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanga mkubwa wewe.
 
Ile timu hata ikicheza na Mashujaa Fc, bado Mashujaa wanashinda kwa ushindi mnono. Nitashangaa sana kama mbumbumbu fc hawataondoka na ushindi mnono.
 
Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana

Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89

Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba

Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Na apigiwe tu kama ngoma.
 
Simba akishinda wewe na wanganga wenzio mtakuwa ma gay
 
Weka ahadi ya kutoa mali yako isiyohamishika ili kama tusipofungwa tujue tunajilipaje....pumbaaaaaaaaavu (kwa sauti ya Ray kigosi)
 
Naiombea Simba ishinde Ili tukutane nusu fainal tumfanye daraja la kutupeleka fainal
Ili simba na yanga waweze kukutana kabla ya fainali lazima mmoja amalize wakwanza na mwingine amalize wapili, hadi sasa ni yanga pekee ndio anaweza kumaliza wakwanza kama atashinda game ya mwisho
 
Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana

Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89

Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba

Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi wa kisimbe
 
Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana

Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89

Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba

Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1

Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu rudia tena kuangalia huko kwenye ulimwengu wa roho 😂😂😂
 
Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana

Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89

Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba

Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto
 
Mechi ikiwa droo, na mwenzie mwenye point 6 kama yeye akishinda, 5imba chaliii..!! Kifupi, 5imba anahitaji ushindi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee mlongooo. Hii ndo Simba na Robo ni yetuuu.
Unateseka ukiwa wapiiiii???
 
Ili simba na yanga waweze kukutana kabla ya fainali lazima mmoja amalize wakwanza na mwingine amalize wapili, hadi sasa ni yanga pekee ndio anaweza kumaliza wakwanza kama atashinda game ya mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekeshaaaa
 
Back
Top Bottom