HakikaTunaposema hakuna wa kuthubutu kumuondoa Chama pale Simba tuna maamisha.
Simba bila Chama inahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa.
Naiona nafasi ya tatu kwenye ligi Simba Hana mpinzani.
Ubunifu bado mdogo sana, timu ina-struggle sana kutengeneza nafasi. Aidha, back passes ni nyingi mno. Kwa ushindani wa mwaka huu kwenye ligi, wafanye kazi ya ziada kumaliza nafasi ya tatu
SanaWasipobadlika kutakua na sare nyingi sana hasa wakikutana na team inayokimbia muda wote
Sawa lkn matokeo ya APR hayaondoi sare za Simba ligi kuuIliyo iva imetolewa na wakuja APR y Rwanda.
Kwani mlimleta Benchika ili mchukue Mapinduzi cup?Sasa Kwa nini usiende kumsaidia Gamondi ile jana dhidi ya APR kama unaweza kujua matatizo ya jirani yako [emoji3]
Ilimpiga mtu 5Hiyo timu ya kina Mauya, Ngushi, Moloko, Zoazoa, Mzizi, Sheli etc ilifanya kipi cha maana cha kuelekea japo robo ya mnyama jana mbele ya Eldin Shaiboub?
Tunacho kikosi cha kumoiga yoyote 5 bilaNyie Utopolo yaani Sie tunawasubiria kule Kwenye uzi Live update...!
Mmezunguuuuka mkaja kuanzisha uzi huku msapotiane..!
Muuza Matiki Maji Wenu mliyemtoa Argentina Kashasema Hana Kikosi kipana, Wengi Pale ni Maboga.
Mumtafutie Wachezaji, badala yake nyie Mnamuongeza Walevi..! Soon mtafungua Bar.
Usikute ni mzaz wa mtuUnateseka ukiwa umechomekea blauz au umevaa msuli?
Sarr mwenyewe!!!Huku analetwa Babacar Sarr...
Huku analetwa 'Ahmada Amelewa'....wapi na Wapi.?