Simba bado haijaiva

Simba bado haijaiva

Attachments

  • 1704732218203.jpg
    1704732218203.jpg
    326.8 KB · Views: 1
Ni kweli timu inakosa ubunifu pale mbele na mbaya zaidi benchi la ufundi linategemea Saidoo ndio afanye hiyo kazi. Kwa mtizamo wangu nafikiri ni wakati sasa wa benchi la ufundi kuanza kuwaamini Miquisone au Onana au pia ikitokea Kramo kupona haraka kucheza nyuma ya mshambuliaji wa kati. Ukiangalia mpira kiufundi sana Saidoo siku zote huwa anaikaba Simba pale mbele badala ya kuisaidia. Nafasi ya mshambuliaji nyuma ya mshambuliaji wa kati (namba 10) inatakiwa mchezaji mwenye kasi, nguvu, mashuti makali tena ya kushtukiza, ubunifu, uwezo mkubwa wa kupunguza wachezaji wa timu pinzani wawili au watatu kwa chenga tena kwa kasi. Uwanjani huyu ndio daraja la mwisho kabisa kati ya viungo wa kati na mshambuliaji wa kati pamoja na mawinga.

Saido ana ubinafsi mno analazimisha afunge yeye mwenyewe, anachenga moja tena ya kizamani mno ambayo akiguswa lazima aende chini, kupiga mashuti ambayo anajiandaa kabisa mpaka kipa anajua kuwa anapiaga, kucheza "one two" halafu afungue apewe tena ni shida, kuwahi "second balls " baada ya Baleke kuruka na mabeki wa timu pinzani ni shida, kupunguza wachezaji wa timu pinzani wawili/watatu kwa chenga kwa mpigo hawezi, kukokota mpira kwa kasi kuelekea lango la adui ni shida, n.k . Yeye anachokimbilia tu ni kupiga mipira iliyokufa na kona ambayo nayo mingi anataka afunge mwenyewe. Kiufupi sana ukimwangalia Saidoo hachezi kwa niaba ya timu badala yake anacheza ili yeye aonekane na mbaya zaidi sasa hivi analazimisha vitu uwanjani ili uongozi umpe mkataba mpya bila kujali anaigharimu timu.

Ni mtizamo tu.
Bora ww umeona
 
Umeshataja kwamba kwa timu ya wakina Mauya, ngushi, moloko, kumbe unajua ni yanga ipi imecheza mapinduzi!! Sasa linganisha na timu yako iliyoweka first eleven yake yote na unapata tabu dhidi ya timu Kama jamhuri!
Wameweka kikosi cha kwanza ili ipate matokeo iwafurahishe mashabiki wao.
 
Ni kweli timu inakosa ubunifu pale mbele na mbaya zaidi benchi la ufundi linategemea Saidoo ndio afanye hiyo kazi. Kwa mtizamo wangu nafikiri ni wakati sasa wa benchi la ufundi kuanza kuwaamini Miquisone au Onana au pia ikitokea Kramo kupona haraka kucheza nyuma ya mshambuliaji wa kati. Ukiangalia mpira kiufundi sana Saidoo siku zote huwa anaikaba Simba pale mbele badala ya kuisaidia. Nafasi ya mshambuliaji nyuma ya mshambuliaji wa kati (namba 10) inatakiwa mchezaji mwenye kasi, nguvu, mashuti makali tena ya kushtukiza, ubunifu, uwezo mkubwa wa kupunguza wachezaji wa timu pinzani wawili au watatu kwa chenga tena kwa kasi. Uwanjani huyu ndio daraja la mwisho kabisa kati ya viungo wa kati na mshambuliaji wa kati pamoja na mawinga.

Saido ana ubinafsi mno analazimisha afunge yeye mwenyewe, anachenga moja tena ya kizamani mno ambayo akiguswa lazima aende chini, kupiga mashuti ambayo anajiandaa kabisa mpaka kipa anajua kuwa anapiaga, kucheza "one two" halafu afungue apewe tena ni shida, kuwahi "second balls " baada ya Baleke kuruka na mabeki wa timu pinzani ni shida, kupunguza wachezaji wa timu pinzani wawili/watatu kwa chenga kwa mpigo hawezi, kukokota mpira kwa kasi kuelekea lango la adui ni shida, n.k . Yeye anachokimbilia tu ni kupiga mipira iliyokufa na kona ambayo nayo mingi anataka afunge mwenyewe. Kiufupi sana ukimwangalia Saidoo hachezi kwa niaba ya timu badala yake anacheza ili yeye aonekane na mbaya zaidi sasa hivi analazimisha vitu uwanjani ili uongozi umpe mkataba mpya bila kujali anaigharimu timu.

Ni mtizamo tu.
Simba hatimaye amepatikana mtu mmoja mwenye akili, na si mwingine bali ni Joo Wane
 
Huwezi kuwa na timu ukawa huna play maker!!, Simba inatumia nguvu kubwa kupata matoke kuliko mbinu na ubunifu wa wachezaji. Hasa pale unapomkosa chama, timu imeamua kumtegemea Ngoma ambaye kiuhalisia Hilo jukumu haliwezi hasa anapokutana na timu inayokabia mstari wa juu. Simba bila kubebwa na waamzi ligi kuu msimu huu hawezi kuikwepa nafasi ya 3.
 
Huwezi kuwa na timu ukawa huna play maker!!, Simba inatumia nguvu kubwa kupata matoke kuliko mbinu na ubunifu wa wachezaji. Hasa pale unapomkosa chama, timu imeamua kumtegemea Ngoma ambaye kiuhalisia Hilo jukumu haliwezi hasa anapokutana na timu inayokabia mstari wa juu. Simba bila kubebwa na waamzi ligi kuu msimu huu hawezi kuikwepa nafasi ya 3.

Ngoma anaweza sana tu,Mtizame vizuri pasi zake hata onana utagundua washambuliaji ndo hawakai kwenye nafasi zao vizuri. Afterall No 10 ni saido ambae nae muda mwingi anakuwa off. Nachoona kocha anajaribu ku stabilize line ya beki ili timu isishambuliwe sana kitu ambacho naona anafanikiwa. Changamoto ni transition kwamba simba ikishapata mpira inaupeleka vipi haraka mpaka goli la mpinzani , hapa ndo changamoto ilipo maana kule mbele hawakai kwenye nafasi. Nina imani na usajiri wa Chasambi akishaondoa ushamba na woga atakuwa mchezaji hatari sana ndani ya mfumo huu
 
Ngoma anaweza sana tu,Mtizame vizuri pasi zake hata onana utagundua washambuliaji ndo hawakai kwenye nafasi zao vizuri. Afterall No 10 ni saido ambae nae muda mwingi anakuwa off. Nachoona kocha anajaribu ku stabilize line ya beki ili timu isishambuliwe sana kitu ambacho naona anafanikiwa. Changamoto ni transition kwamba simba ikishapata mpira inaupeleka vipi haraka mpaka goli la mpinzani , hapa ndo changamoto ilipo maana kule mbele hawakai kwenye nafasi. Nina imani na usajiri wa Chasambi akishaondoa ushamba na woga atakuwa mchezaji hatari sana ndani ya mfumo huu
Ngoma hajwahi kuwa mzuri akikutana na timu inayokabia juu, Ngoma ni mwepesi Sana kunyanganywa mpira, Ngoma no mzuri kwa timu za karba hiyo... Kama umefuatilia mechi nyingi za ligi alizocheza utaelewa!. Ngoma n mzuri ila hawezi kuvaa majukum ya play maker wa timu ikawa salama. Muda utaongea usizubaishiwe na maponduzi cup hapa hamna timu zenye ushindani 😅
 
Ubunifu bado mdogo sana, timu ina-struggle sana kutengeneza nafasi. Aidha, back passes ni nyingi mno. Kwa ushindani wa mwaka huu kwenye ligi, wafanye kazi ya ziada kumaliza nafasi ya tatu

Wafanye kazi kumaliza mafasi ya nne
 
Ngoma hajwahi kuwa mzuri akikutana na timu inayokabia juu, Ngoma ni mwepesi Sana kunyanganywa mpira, Ngoma no mzuri kwa timu za karba hiyo... Kama umefuatilia mechi nyingi za ligi alizocheza utaelewa!. Ngoma n mzuri ila hawezi kuvaa majukum ya play maker wa timu ikawa salama. Muda utaongea usizubaishiwe na maponduzi cup hapa hamna timu zenye ushindani [emoji28]

Siongelei mapinduzi cup ila hata hii mapinduzi cup mchezaji mwenye skills utamuona. Uchezaji haubadiliki ni ule ule tofauti ni viwango vya timu pinzani. Bado Ngoma anabaki kuwa playmaker mzuri sababu ana pasi sahihi na maamuzi sahihi. Siyo defender kama natural defender lakini kukaa kwake kwenye nafasi yake kunatoa msaada mkubwa kwa defender na strikers pia . Rudia mechi dhidi ya wydad mechi zote mbili home na away. Jamaa kaifanya simba itulie na ubora mwingine si mtu wa kukaa na mpira hii ni muhimu kwa modern football. Hata goli la jana alichofanya ni kuupiga mpira kwenye nafasi tu. Binafsi naona asogee namba 10
 
Ubunifu bado mdogo sana, timu ina-struggle sana kutengeneza nafasi. Aidha, back passes ni nyingi mno. Kwa ushindani wa mwaka huu kwenye ligi, wafanye kazi ya ziada kumaliza nafasi ya tatu
Wewe uliyeiva mbona unaliwa kwa ndimu.
 
Tunaposema hakuna wa kuthubutu kumuondoa Chama pale Simba tuna maanisha.

Simba bila Chama inahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa.

Naiona nafasi ya tatu kwenye ligi Simba Hana mpinzani.
Mpaka mseme yote hamjasema bado!

Simba [emoji123] moya!

Kila thread ni simba. Hii ndiyo maana ya brand kubwa afrika mashariki na Afrika.

Hamna cha kuandika kuhusu Yanga. Uataandika nini.
 
Siongelei mapinduzi cup ila hata hii mapinduzi cup mchezaji mwenye skills utamuona. Uchezaji haubadiliki ni ule ule tofauti ni viwango vya timu pinzani. Bado Ngoma anabaki kuwa playmaker mzuri sababu ana pasi sahihi na maamuzi sahihi. Siyo defender kama natural defender lakini kukaa kwake kwenye nafasi yake kunatoa msaada mkubwa kwa defender na strikers pia . Rudia mechi dhidi ya wydad mechi zote mbili home na away. Jamaa kaifanya simba itulie na ubora mwingine si mtu wa kukaa na mpira hii ni muhimu kwa modern football. Hata goli la jana alichofanya ni kuupiga mpira kwenye nafasi tu. Binafsi naona asogee namba 10
😅😅😅 Mwezi wa 2 mwanzoni mna mechi ya ligi na Azam... Utarudi kufukua hii komenti.... Ngoma hawezi kuwa play maker timu ikapata matokeo sawia... Mechi na whydad mliyoshinda Dar Chama kaplay role kubwa sana... Ndio alikuwa goal creater.
 
Tunaposema hakuna wa kuthubutu kumuondoa Chama pale Simba tuna maanisha.

Simba bila Chama inahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa.

Naiona nafasi ya tatu kwenye ligi Simba Hana mpinzani.
APR 3-1 UTOPOLO
 
Back
Top Bottom